lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,190
Namaste😛ray2:
Nisiwachoshe na intro manake hii khabar yenyewe ni ndefu sana, Resolution yangu ya mwaka huu 2014 ni more CLASS(As if class can be bought! class is just a social prejudice invented by some shamess people whose humor has no sense at all to try n imply THEY ARE SIMPLY BETTER THAN OTHERS! Of which is outrageous!) AND LESS USWAHILI (Mjaa asili haachi asili yake, na akicha asili asi hana akili! ni muathirika wa NEO COLONIALISM! How come their culture is always better than ours!? Uzungu uzungu huu watu wanakuwa MAGOVINDER KUMMAR, MAOKA YA KIBISA, ROUND 1, wakati babu zao dawa wanazo. ) Uandishi wa khabari hii utahusisha USWAZI kidogo.
Basi bwana back in the days like 2010, tulimalizaga na bibie mmoja chombo cha haja, na bookworm mmoja hivi. Hawa watu walikuwa wana date like since first year, full kupendana! Full Mwanaume alikuwa busy vibaya mno, Kumuadikia bi dada asigment zote, kumfundisha after class! Alijitoa kweli kweli kuwa Desa point! Bibie alikuwa busy kula maisha ya jijini hapa! (At that ripe age who would blame her!? Specifically not me!)
Basi bwana baada ya kumaliza chuo, ukafata ukata mkali sana kitaaa! They held on! Bibie baadae sababu yuko well connected akapata kazi nzuri tu kwa wazungu akawa analipwa in Pounds.Wenzie exchnge rate ikitubana pichu yeye anashangilia. Kama mjuavyo ukipanda daraja kimaisha there are some people YOU JUST HAVE TO CUT THEM LOOSE!! Its not like you are being rude or somethin, but its a necessity if your a.ss wants to remain on top of the game If you play too kind they will drag you down n beat u with experience! A sister did what she had to do! (What? Feeling sad for the dude? life is bi.tch he should get used to it! If u just have to blame somebody TRY HIS ILL FATE!)
Cutting people lose hio sio swala baya kihivo, We all cut people loose once in a while! But how do we cut them loose? That is a point of vital importance. Basi bwana sababu yule kaka alikuwa BROKE A.SS akawa so depressed, and RUDE if i have to honest. Ikawa ipossible kwenda nae mahali na kufanya nae converation. Like one day nilibambana nao kwenye viota vya jiji tukawa tunakunywa wa 3, and he like bursted "Can you imagine NYIE VILAZA MNA KAZI ZA MAANA N ME KIPANGA SIAJIRIKI? FU.CK LIFE blah! blah! bah!" ilikuwa so embarrassed!!! Yaani kama anamblme yule dada for HIS ILL FATE! Nikaamua nifanye tu utani kwa kumwabia" Woo! Taratibu, mkeo ndo ana kazi ya maana, mi naganga njaa tu pale, nionekane asubuhi nimeoga na kutoka ndani. Ila mishahara haigongani bank!) Tukabonga mambo mengine usiku ukapita.
Kuna sku nikakutana na yule bibie, akaniambia maisha na bookworm yameshindikana, he is simply impossible kuishi nae. Amekuwa bitter person mtu wa kulalamika tu, anamfanya ajisikie guilty na mafanikio yake.! She is not gettin any younger, kamsubiria boo worm in 2YRS lakini haoni hope yeyote! She wants to move on, she met a man, ana jikazi lake, older, matured and she likes him, amepropose nae kakubali! Mi nikajibaraguza baraguza pale na kuunga mkono swala zima! (What? Dont try to blame me! She was my friend and not HIM! What are friends for?) Kama masihara HARUSI ILIFUNGWA mid 2013! Nilikuwa naumwa sikwenda. But it was HUGE! Niliishia kulike facebook na ku comment.
Basi after wedding yule kaka kuna siku alinipigia analia machozi, akaniambia rafiki yako kanifanya vibaya. Blah blah! Ametoa mimba zangu 3 (Dont even act like this surprised you! You know times have changed). alafu kaja kuniambia anaolewa sababu ana mimba ya huyo mtu mwingne! Michozi kibao. I suck in comforting people. Nikampiga bah! blah! blah! maisha hivi na vile. Nikamwambia kwa alichokufanyia ukitaka kwenda kumloga niite nikushikie tunguri, na kukusaidi kupuliza vimfikiefastaaa! Hahahaaaaaaa! . Nikakata simu. Ila kiuweli nilimuhurumia kijana maisha hayajamtendea haki. But siungi mkono kitendo cha dume zima kuwa whining like a little baby kwenye simu badala ya kuwahi church kurvers mambo. Well we all have OUR PROBLEMS but life has to go on.
Nikawa nishawasahau, yule bibi akajfungua toto zuri dume la mbegu, mwezi wa 8 mwaka jana. Sikwenda hata kumuoa nikaishia kulike face book. (I know i am a terrible friend, but not that terrible, was still sick) Nikawa nimeshawasahau kama wana exist duniani. (Ndo urfiki wa jijini huo!) Hamad this January yule kaka kapata BONGE LA KAZI! Navosikia sikia tu ni kuwa gig ya ukwee kinoma kwa wazungu gani sijui. Mi benefit ya kufa mtu, mpaka holiday package. Nikasema good for him! AT LAST! JAPO THE TIMNG MAY BE WORST lakini its better late than never. Kimoyo moyo najisemea KARMA might be really a bi.tch but this time she isnt. With his new INCOME STATEMENT sio mbaya nikienda kurith mikoba ya shosti! I AM A MERCIFUL PERSON AFTER ALL especially pale ambapo BENJAMINS zinahusika! With his new found empire it will be so unfair and heartbreaking for such a young man like him to be seen ALONE and LONELY while i the GOOD OLD FRIEND can definitely do something about it. Ndo nikaanza kujifanyia LOGISTIC ZANGU binafsi za kuingiza kingi bookworm.
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni. Yule dada alivokosa haya baada ya kusikia yote hayo si kaja kivingine! Kaona yeye katska we! Waje watu wengine kufaidi? Thubutu! Kamplay kaka wa watu THE FOOLS CARD! Kafanya manuva manuva mpaka kaenda kwa yule kaka wakakaa na kuonge! Eti! Eti! Eti! MTOTO NI WA BOOKWORM!? Makubwa! Madogo yana nafuu. Eti sababu Bookworm hakuwa na maisha kipindi hicho aliamua kuolewa na yule Ntu nzima na kumbambika mtoto ili mtoto apate maisha bora! Mmh! YUKO TAYARI NA STANDBY KUPIMA DNA kama atakubali warudiane, kama hataki warudiane for od times sake, afanye kama hicho kikao hakikutokea! Na asimuharibie kwa mtu mzima. And you wont believe it! Bookworm alivo bwelegeje sijui ndo MADAWA anaonekana kabisaaa kudance the tune! Mpaka muda huu naandikaa hapa wanaonekana sehemu kibao madai yao wana REBOUND na Ku RECONNECT! kabla hawajafanya maamuzi magumu! CAN OU BELIEVE THAT? Then talkin about their bastard kid, how they love each other, how they miss each other! THIS IS UNSPEAKABLE! Namuhurumia tu Bookworm! THESE DAYS IT DOESNT MATTER HOW MUCH YOU WRONGED SOME1, RATHER WHAT TRICK AND DRAMA YOU WILL USE TO BEG FORGIVENSS! MJINI MIPANGO!
Nisiwachoshe na intro manake hii khabar yenyewe ni ndefu sana, Resolution yangu ya mwaka huu 2014 ni more CLASS(As if class can be bought! class is just a social prejudice invented by some shamess people whose humor has no sense at all to try n imply THEY ARE SIMPLY BETTER THAN OTHERS! Of which is outrageous!) AND LESS USWAHILI (Mjaa asili haachi asili yake, na akicha asili asi hana akili! ni muathirika wa NEO COLONIALISM! How come their culture is always better than ours!? Uzungu uzungu huu watu wanakuwa MAGOVINDER KUMMAR, MAOKA YA KIBISA, ROUND 1, wakati babu zao dawa wanazo. ) Uandishi wa khabari hii utahusisha USWAZI kidogo.
Basi bwana back in the days like 2010, tulimalizaga na bibie mmoja chombo cha haja, na bookworm mmoja hivi. Hawa watu walikuwa wana date like since first year, full kupendana! Full Mwanaume alikuwa busy vibaya mno, Kumuadikia bi dada asigment zote, kumfundisha after class! Alijitoa kweli kweli kuwa Desa point! Bibie alikuwa busy kula maisha ya jijini hapa! (At that ripe age who would blame her!? Specifically not me!)
Basi bwana baada ya kumaliza chuo, ukafata ukata mkali sana kitaaa! They held on! Bibie baadae sababu yuko well connected akapata kazi nzuri tu kwa wazungu akawa analipwa in Pounds.Wenzie exchnge rate ikitubana pichu yeye anashangilia. Kama mjuavyo ukipanda daraja kimaisha there are some people YOU JUST HAVE TO CUT THEM LOOSE!! Its not like you are being rude or somethin, but its a necessity if your a.ss wants to remain on top of the game If you play too kind they will drag you down n beat u with experience! A sister did what she had to do! (What? Feeling sad for the dude? life is bi.tch he should get used to it! If u just have to blame somebody TRY HIS ILL FATE!)
Cutting people lose hio sio swala baya kihivo, We all cut people loose once in a while! But how do we cut them loose? That is a point of vital importance. Basi bwana sababu yule kaka alikuwa BROKE A.SS akawa so depressed, and RUDE if i have to honest. Ikawa ipossible kwenda nae mahali na kufanya nae converation. Like one day nilibambana nao kwenye viota vya jiji tukawa tunakunywa wa 3, and he like bursted "Can you imagine NYIE VILAZA MNA KAZI ZA MAANA N ME KIPANGA SIAJIRIKI? FU.CK LIFE blah! blah! bah!" ilikuwa so embarrassed!!! Yaani kama anamblme yule dada for HIS ILL FATE! Nikaamua nifanye tu utani kwa kumwabia" Woo! Taratibu, mkeo ndo ana kazi ya maana, mi naganga njaa tu pale, nionekane asubuhi nimeoga na kutoka ndani. Ila mishahara haigongani bank!) Tukabonga mambo mengine usiku ukapita.
Kuna sku nikakutana na yule bibie, akaniambia maisha na bookworm yameshindikana, he is simply impossible kuishi nae. Amekuwa bitter person mtu wa kulalamika tu, anamfanya ajisikie guilty na mafanikio yake.! She is not gettin any younger, kamsubiria boo worm in 2YRS lakini haoni hope yeyote! She wants to move on, she met a man, ana jikazi lake, older, matured and she likes him, amepropose nae kakubali! Mi nikajibaraguza baraguza pale na kuunga mkono swala zima! (What? Dont try to blame me! She was my friend and not HIM! What are friends for?) Kama masihara HARUSI ILIFUNGWA mid 2013! Nilikuwa naumwa sikwenda. But it was HUGE! Niliishia kulike facebook na ku comment.
Basi after wedding yule kaka kuna siku alinipigia analia machozi, akaniambia rafiki yako kanifanya vibaya. Blah blah! Ametoa mimba zangu 3 (Dont even act like this surprised you! You know times have changed). alafu kaja kuniambia anaolewa sababu ana mimba ya huyo mtu mwingne! Michozi kibao. I suck in comforting people. Nikampiga bah! blah! blah! maisha hivi na vile. Nikamwambia kwa alichokufanyia ukitaka kwenda kumloga niite nikushikie tunguri, na kukusaidi kupuliza vimfikiefastaaa! Hahahaaaaaaa! . Nikakata simu. Ila kiuweli nilimuhurumia kijana maisha hayajamtendea haki. But siungi mkono kitendo cha dume zima kuwa whining like a little baby kwenye simu badala ya kuwahi church kurvers mambo. Well we all have OUR PROBLEMS but life has to go on.
Nikawa nishawasahau, yule bibi akajfungua toto zuri dume la mbegu, mwezi wa 8 mwaka jana. Sikwenda hata kumuoa nikaishia kulike face book. (I know i am a terrible friend, but not that terrible, was still sick) Nikawa nimeshawasahau kama wana exist duniani. (Ndo urfiki wa jijini huo!) Hamad this January yule kaka kapata BONGE LA KAZI! Navosikia sikia tu ni kuwa gig ya ukwee kinoma kwa wazungu gani sijui. Mi benefit ya kufa mtu, mpaka holiday package. Nikasema good for him! AT LAST! JAPO THE TIMNG MAY BE WORST lakini its better late than never. Kimoyo moyo najisemea KARMA might be really a bi.tch but this time she isnt. With his new INCOME STATEMENT sio mbaya nikienda kurith mikoba ya shosti! I AM A MERCIFUL PERSON AFTER ALL especially pale ambapo BENJAMINS zinahusika! With his new found empire it will be so unfair and heartbreaking for such a young man like him to be seen ALONE and LONELY while i the GOOD OLD FRIEND can definitely do something about it. Ndo nikaanza kujifanyia LOGISTIC ZANGU binafsi za kuingiza kingi bookworm.
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni. Yule dada alivokosa haya baada ya kusikia yote hayo si kaja kivingine! Kaona yeye katska we! Waje watu wengine kufaidi? Thubutu! Kamplay kaka wa watu THE FOOLS CARD! Kafanya manuva manuva mpaka kaenda kwa yule kaka wakakaa na kuonge! Eti! Eti! Eti! MTOTO NI WA BOOKWORM!? Makubwa! Madogo yana nafuu. Eti sababu Bookworm hakuwa na maisha kipindi hicho aliamua kuolewa na yule Ntu nzima na kumbambika mtoto ili mtoto apate maisha bora! Mmh! YUKO TAYARI NA STANDBY KUPIMA DNA kama atakubali warudiane, kama hataki warudiane for od times sake, afanye kama hicho kikao hakikutokea! Na asimuharibie kwa mtu mzima. And you wont believe it! Bookworm alivo bwelegeje sijui ndo MADAWA anaonekana kabisaaa kudance the tune! Mpaka muda huu naandikaa hapa wanaonekana sehemu kibao madai yao wana REBOUND na Ku RECONNECT! kabla hawajafanya maamuzi magumu! CAN OU BELIEVE THAT? Then talkin about their bastard kid, how they love each other, how they miss each other! THIS IS UNSPEAKABLE! Namuhurumia tu Bookworm! THESE DAYS IT DOESNT MATTER HOW MUCH YOU WRONGED SOME1, RATHER WHAT TRICK AND DRAMA YOU WILL USE TO BEG FORGIVENSS! MJINI MIPANGO!