MgungaMiba
JF-Expert Member
- Aug 28, 2011
- 999
- 816
Nchi za Ulaya haziwezi kutumwa na Waarabu wakapigane vita, never, huo ni ujuha wako tu. Nchi za Ulaya huingia vitani kwa maslahi yao tu, period. Magaidi na Wakimbizi ndio matokeo na muendelezo wa vita hivyo, wamelikoroga wacha walinywe, na wewe kibaraka wa wazungu uache kulialia wakati wanaume wakiwa kazini!Nchi za ulaya zilitumwa na waarabu wapinzani wa Libya na Iraq kuwaondoa madikteta kwa malipo ya mafuta. Wamesaidia kuwaondoa madikteta kama Sadam na Gaddafi, lakini wao bado wanachinjana kwa ugaidi kama mangombe....waarabu pumbavu kabisa. Alafu takataka kama nyiye mnafwata dini yao ya uislamu!
Vita haijazaa wakimbizi, bali imezaa magaidi na wavamizi. Mbona hawakimbilii Saudia au Kuwait au Qatar au iran au Zanzibar ushenzini kwenu?
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app