shambulio la ngono vs kubaka...

shambulio la ngono vs kubaka...

sijui tofauti ila kumbaka mtu ni kumlazimisha kufanya naye mapenzi bila ridhaa yake
 
sijui tofauti ila kumbaka mtu ni kumlazimisha kufanya naye mapenzi bila ridhaa yake

je akilidhia alafu baadae akachoka alafu we ukaendelea kukandamiza bila ridhaa yake, utakuwa umebaka?
 
Hapa inabidi tumtafute Judge Judy aje amalize ubishi!.
 
ni kiasi tu cha kumueleza mpnz wako kwmb umechoka basi,we ushaona wapi mtu anabakwa na mwenza wake tena guest khaa

wapo sana,utakuta jitu linakuita guest.we unaenda ukijua mtapiga stori tu,mara unashangaa linaanza kukushikashika,ukilikataza ndio linakufanya kwa mabavu.
 
wapo sana,utakuta jitu linakuita guest.we unaenda ukijua mtapiga stori tu,mara unashangaa linaanza kukushikashika,ukilikataza ndio linakufanya kwa mabavu.

hahahaha aisee umenifurahisha kweli,we ushaona wapi watu wanapigia story G.house,ukikubali kuingia basi tena lazima ukubali kutoa naniii,otherwise hamna kuingia kabisa!wapo wengine wanakupiga vi REDS vi3 tu,after one hr mwenyewe unafungua zipu
 
Sikiliza ile clip ya dr.ndesamburo ameelezea vizuri kabisa
 
Mrs ma2mbo, kwanza nimekumisi!
Hakuna shambulio la ngono, kuna shambulio la aibu. Linahusisha kushikwa kusiko sahihi (inappropriate touching).
Kubakwa ni lazima kuwe na muingiliano (penetration). So kama kubakwa hakujafanikiwa inabakia kuwa na shambulio la aibu (sexual assault)
 
Mrs ma2mbo, kwanza nimekumisi!
Hakuna shambulio la ngono, kuna shambulio la aibu. Linahusisha kushikwa kusiko sahihi (inappropriate touching).
Kubakwa ni lazima kuwe na muingiliano (penetration). So kama kubakwa hakujafanikiwa inabakia kuwa na shambulio la aibu (sexual assault)

In short, upo sahihi.
 
Back
Top Bottom