pettymarcel
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,161
- 880
Shamba lenye ukubwa wa ekari 40 zenye miti zaidi ya elfu thelathini linauzwa Geita eneo limepimwa na limekatwa viwanja na maeneo mbalimbali huu mradi unaweza kuamua kuuzamiti yote ukaachaeneo ukauzaviwanja ambavyo Tayari vimepimwa au ukaomba kibali ukachimba dhahabu maana wapo watu wanachimba maeneo ya jirani au ukaendelea na miti ukachana mbao na kuuza kuni Pesa itarudi fasta mwenye mradi alishindwa kuendeleza maana alipata ajali so anauza wote Kama ulivyo Kila kitu kwa milion Mia mbili tu.
Kwa mwenye kuhitaji tafadhali wasiliana nami WhatsApp 0763772636
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mwenye kuhitaji tafadhali wasiliana nami WhatsApp 0763772636
Sent using Jamii Forums mobile app