shamba lnauzwa dodoma

shamba lnauzwa dodoma

Rtd

Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
13
Reaction score
4
Shamba lipo HOMBOLO BWAWANI katika mradi wa umwagiliaj kwa kulma zabibu na mazao mengne,
 
Lina zabibu?
Bei gani? uwe unamalizia kila kitu kwani mm nina wanunuzi kibao
Pia mm nimeletewa Shamba ZUZU jirani na Mizengo Pinda Kayanza lina ekari 6 lina Hati zote za CDA linauzwa milioni 21 linafaa kwa umwagilaji wa maji na hata matone ya kunyunyizia
 
weka full info e.g price, distance from town, title deed etc, ndizo kazi zetu hizo, leo jioni tunamalizana
 
weka full info e.g price, distance from town, title deed etc, ndizo kazi zetu hizo, leo jioni tunamalizana

kutoka mjni ni umbali wa km 30, bei ni 6M..pia kwa maelewano zaidi nitafute kupitia 0788248592,0653858947
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom