Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 4,499
- 6,898
Shamba lenye ukubwa wa ekari 50, linauzwa segera (makutano ya barabara za dar-moshi-tanga) kwa bei ya shilingi laki 4.5 kwa ekari, kati ya hizo 20 ekari zimeshapandwa michungwa na 30 ekari hazijapandwa kitu.
karibuni pm kwa wateja seroius
karibuni pm kwa wateja seroius