Shamba linauzwa mwanza

Chimbuvu

JF-Expert Member
Jul 17, 2012
4,401
2,333
Shamba linauzwa lipo maeneo ya shibura wilaya ya ilemela,lina ukubwa wa ekari moja,halijapimwa bado,bei tsh 3,000,000/-
 
Kutoka Airport kuelekea nyamwilolewa ndio unafika shibura,ama baada ya buswelu ndio panafuata shibura,
 
Mh! Kwa maeneo hayo hako kabei ni tata kidogo! Kama ni heka moja fika mil mbili tuongee biashara
 
Ukiwa serious buyer nipm ukiwa tayari ukalione,hiyo ni bei ya kuanzia tutaongea tu mtu wangu,am the owner.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom