Habari wana jf nauza shamba langu lipo mkoani Morogoro wilaya ya Kilosa kijiji cha changarawe karibia na kijiji cha miyombo.
shamba linaukubwa wa heka 3 shamba lipo tayri kwa ajili ya kilimo cha mwezi wa 9.
mazao yanayo stawi ni
mahindi
kunde
ufuta
mihogo
mbaazi
BEI KWA HEKA ZOTE TATU NI 1.2M BEI YA KILA HEKA NI LAKI NNE (400000).
mawasiliano 0657623266 0688501810
hawa ni majilani zangu ambao walilima
View attachment 1184647View attachment 1184645View attachment 1184646
shamba linaukubwa wa heka 3 shamba lipo tayri kwa ajili ya kilimo cha mwezi wa 9.
mazao yanayo stawi ni
mahindi
kunde
ufuta
mihogo
mbaazi
BEI KWA HEKA ZOTE TATU NI 1.2M BEI YA KILA HEKA NI LAKI NNE (400000).
mawasiliano 0657623266 0688501810
hawa ni majilani zangu ambao walilima