Shamba linauzwa mkoani Kilimanjaro

Shamba linauzwa mkoani Kilimanjaro

Hakuna hilo,Moshi naifahamu yote hilo eneo sio yale ya makazi ya Ukoo useme kwamba ni prime sana hadi ifike bei hiyo. Hilo eneo ni tupu na ni kame kabisa hakuna makazi ya watu hapo,na pia hilo eneo hakuna la ziada mpaka ifikie hiyo bei,kama hilo eneo lingekuwa ni KCMC angalau kidogo inge sound lakini sio hapo Mjororoni.
kuna mwenzake alikuja last week akasema anauza pale kawawa road kwa milioni sita robo heka hajapata wateja wewe unakuja na hiyo bei aisee kata viwanja utapata
 
Haya mashamba ni ya ndugu aliachiwa na mzazi wake baada ya kufariki 2014 sasa anataka kuyapiga bei yote ili abadilishe maisha yake.

Na ndugu wote akiwemo mama yake wameridhia yauzwe
 
Nashukuru kwa taarifa ya shamba.Ninavyojua mimi maeneo yote chini ya barabara uliyoyataja yatageuzwa makazi ya watu, plot za viwanda na huduma nyingine za kijamii (Maduka, mashule, Malls etc) katika maandalizi ya Moshi kuwa jiji. Naambiwa Manispaa ya Moshi wameshaanza kupima hayo maeneo ya Mahero na mkonga ili kupatikana kwa viwanja vya makazi, viwanda, maduka nk; sasa naomba unijibu maswali yafuatayo:-
1.Specifically hilo shamba lipo eneo gani (taja jina)
2.Je Shamba lako limeshagawanywa ktk viwanja?
3.Je utamsaidia mnunuzi katika huu mchakato wa kuyapima hayo mashamba kuwa viwanja?
4. Je unauza mashamba kukimbia mchakato uliokwisha anzishwa na mji wa Moshi?

Iwapo kuna mtu aliyepo JF ambaye ni mdau wa mchakato wa kupima mashamba Mahero na Mkonga ajitokeze pia ili kuwasaidia watakaopenda kununua shamba tajwa hapo juu.

Ahsante

Wana bodi wasalaam,
Shamba lina uzwa lenye ukubwa wa Ekari mbili.
Lipo Moshi Mjohoroni mbele kidogo shia lipo chini ya barabara kuu lami kata ya kiborloni Municipal
Bei:55ml mazungumzo yapo.
Mwenye kuhitaji atanipata at 0762411561.
 
Wana bodi wasalaam,
Shamba lina uzwa lenye ukubwa wa Ekari mbili.
Lipo Moshi Mjohoroni mbele kidogo shia lipo chini ya barabara kuu lami kata ya kiborloni Municipal
Bei:55ml mazungumzo yapo.
Mwenye kuhitaji atanipata at 0762411561.
 
Hekari 2 kwa 55ml. tena eneo lenyewe ardhi ni ngumu na kuna ukame wa kutosha upo serious kweli wewe?
Hakuna ukame kuna makazi ya watu wewe huifahamu shia na tayari jirani ya hili shamba kuna mzungu amekuja kuwekeza hapa.
 
Wana bodi wasalaam,
Shamba lina uzwa lenye ukubwa wa Ekari mbili.
Lipo Moshi Mjohoroni mbele kidogo shia lipo chini ya barabara kuu lami kata ya kiborloni Municipal
Bei:55ml mazungumzo yapo.
Mwenye kuhitaji atanipata at 0762411561.
MOSHI PIA WAMEANZA KUUZA MASHAMBA, KWELI WACHAGA NAO PIA WAMEANZA KUWA ALOSTO...UKIMPATA WA MILIONI 25 HUYO NDIYO BOSS
 
Hakuna ukame kuna makazi ya watu wewe huifahamu shia na tayari jirani ya hili shamba kuna mzungu amekuja kuwekeza hapa.

huyo mzungu mwekezaji ndiyo yule aliyekamatwa majuzi analima bangi au?
 
Hakuna hilo,Moshi naifahamu yote hilo eneo sio yale ya makazi ya Ukoo useme kwamba ni prime sana hadi ifike bei hiyo. Hilo eneo ni tupu na ni kame kabisa hakuna makazi ya watu hapo,na pia hilo eneo hakuna la ziada mpaka ifikie hiyo bei,kama hilo eneo lingekuwa ni KCMC angalau kidogo inge sound lakini sio hapo Mjororoni.
yaani mil 55 huko mafuriko yanajaaa huyu jamaa katushika sana pamekuwa shant town sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom