Ndio being zao huko moshi,ni shidaHekari 2 kwa 55ml. tena eneo lenyewe ardhi ni ngumu na kuna ukame wa kutosha upo serious kweli wewe?
Hakuna hilo,Moshi naifahamu yote hilo eneo sio yale ya makazi ya Ukoo useme kwamba ni prime sana hadi ifike bei hiyo. Hilo eneo ni tupu na ni kame kabisa hakuna makazi ya watu hapo,na pia hilo eneo hakuna la ziada mpaka ifikie hiyo bei,kama hilo eneo lingekuwa ni KCMC angalau kidogo inge sound lakini sio hapo Mjororoni.Yaani kwa Moshi hiyo ni bei rahisi sana. Hakunaga kuuza boma kule.
Hakuna hilo,Moshi naifahamu yote hilo eneo sio yale ya makazi ya Ukoo useme kwamba ni prime sana hadi ifike bei hiyo. Hilo eneo ni tupu na ni kame kabisa hakuna makazi ya watu hapo,na pia hilo eneo hakuna la ziada mpaka ifikie hiyo bei,kama hilo eneo lingekuwa ni KCMC angalau kidogo inge sound lakini sio hapo Mjororoni.
Haya uzeni kwa hiyo bei sasa.Unaijua moshi kweli wew acha kupotosha kwahilo eneo hiyo bei no reasonable kabisa
mkuu kwetu ni hapo sango mbele kidogo ya shia/..... ukweli being ya mashamba huko ipo huu sanaYaani kwa Moshi hiyo ni bei rahisi sana. Hakunaga kuuza boma kule.
Hahahaaa....moshi viwanja haviuzwi hovyo na ikitokea kimeuzwa basi hiyo bei ni hatari WEKA MBALI NA WATOTONdio being zao huko moshi,ni shida