Shamba linauzwa lipo Njombe

Shamba linauzwa lipo Njombe

js52471224

Member
Joined
Oct 8, 2017
Posts
56
Reaction score
36
Karibu muwekeze kwenye kilimo na miti. Shamba langu nauza linafaa kulima viazi mvingo, mahindi,njegere, ngano na kupanda miti kama mipaina,milingoti na mibani.ukitaka eka moja au zaidi sawa,bei eka moja ni sh.200,000/= Na pia lipo eneo nilopanda miti nalo nauza,miti imepandwa mwaka 2015.eka moja miche 600 ya miti. Shamba na miti kwa eka moja sh.1,000,000/=ukitaka eka moja au zaidi. lipo Ugera Ludewa Njombe, Karibu mawasilino yangu 0763144333 au 0654889707
 
ugera ni kilomita ngapi kutoka ludewa mjini?
 
Karibu muwekeze kwenye kilimo na miti. Shamba langu nauza linafaa kulima viazi mvingo, mahindi,njegere, ngano na kupanda miti kama mipaina,milingoti na mibani.ukitaka eka moja au zaidi sawa,bei eka moja ni sh.200,000/= Na pia lipo eneo nilopanda miti nalo nauza,miti imepandwa mwaka 2015.eka moja miche 600 ya miti. Shamba na miti kwa eka moja sh.1,000,000/=ukitaka eka moja au zaidi. lipo Ugera Ludewa Njombe, Karibu mawasilino yangu 0763144333 au 0654889707
Nakutafuta mkurugenzi
 
Karibu muwekeze kwenye kilimo na miti. Shamba langu nauza linafaa kulima viazi mvingo, mahindi,njegere, ngano na kupanda miti kama mipaina,milingoti na mibani.ukitaka eka moja au zaidi sawa,bei eka moja ni sh.200,000/= Na pia lipo eneo nilopanda miti nalo nauza,miti imepandwa mwaka 2015.eka moja miche 600 ya miti. Shamba na miti kwa eka moja sh.1,000,000/=ukitaka eka moja au zaidi. lipo Ugera Ludewa Njombe, Karibu mawasilino yangu 0763144333 au 0654889707
miti uliyopanda ina miaka mingapi mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom