Shamba linauzwa Kingorwila

TechTino

Member
Joined
Oct 16, 2016
Posts
71
Reaction score
25
LIPO SHAMBA LENYE HEKALI 100 LINAUZA KWA SH 25 PIA YAPO MASHAMBA MENGINE AMBAYO YANAUZWA HATA KWA HEKALI 1(0744990530) UMBALI NI KM 15 KUTOKA MJINI
 
hii tabia ya kuwauzia watu mashamba kipindi cha kiangazi hatari sana sasa sehemu mkondo wa maji lakin mtu anauziwa wale wa kihonda kwa bwana jela najua tabu mnayoipata atakuja mtu ana kwambia nina eneo mbuyuni nauza milion 5 we ukaona umepata ngoja msimu wa mvua utalia sana tuwe wawazi madalali na wauzaji wengi wana nunu sehemu siyo sahihi kwa uroo wa kujenga
 
kaka kama unahitaji unaweza kuja liona mwenyewe na huo ni mto ,pia kuna umbali ambao mtu na shamba lazima uzingatiwe
 
Mbona nilisikia hilo eneo wanaanza kupima viwanja viwe makazi?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…