Panda mabasi yatakayokufikisha Rangi 3 Mbagala, and then unapanda magari ya kuelekea mvutiSamahani kwa usumbufu mkubwa ila raha ya jamii forum ni kua kuna watu wa daraja la chini na la juu na wote na tunaomba ututajie kama unaweza kuuza heka 1 na kama mtu akitaka kufika huko anapanda basi gani na je una vielelezo gani vy umiliki?
Ntashukuru sana kama utatoa ushirikiano.
shamba lipo mvuti karibu na gereza la dondwe wilaya ya temeke mkoa wa dar es salaam heka 5 bei mill 10 maelewano yapo lina faha kwakilimo wekeza kwa sasa na badae hii ndio fulsa sasa simu 0712690760