Shamba lenye ukubwa wa heka 160,linauzwa liko Tengeru Arusha km 8 toka mainroad ya Arusha-Moshi lina lease ya miaka 99,unaweza nunua lote au kwa kipande kisichopungua heka 40.Linafaa kwa kujenga shule,hotel,au kwa kilimo cha maua,kwa wahitaji wasiliana na 0754758957 au 0717799900 Isaac.