Shamba la ukubwa wa hekta 2.5 likiwa na michungwa na mabanda ya kufugia kuku (full equiped) wanaoweza kufika elfu kumi linakodishwa. Eneo ni zuri kwa kilimo cha mbogamboga, mipapai, mananasi nk.
Eneo la shamba lipo Dar - madale - kisauke
Bei 2.5 million kwa mwaka (negotiable)
Kwa muhitaji piga 0715274727 - Papaah