Shamba linakodishwa

Papaa Kinyani

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2013
Posts
1,457
Reaction score
699
Shamba lenye uzio la ukubwa wa heka 2.5, lipo Dar - Madale - Kisauke likiwa na mabanda ya kufugia kuku yaliyokamilika kwa vifaa vyote kwa kuku wanaoweza kufikia elfu kumi linakodishwa. Eneo ni zuri pia kwa kilimo cha mbogamboga, mipapai, nk. maana maji ya yapo mengi.
Njoo uone upange bei, pia kama unataka kununua tutaongea.
Kwa muhitaji tuu piga 0715274727 - Xhevior
 
Watanzania lazima tumerogwa, kama unashindwa hata kusema shamba lipo mkoa gani unategemea nini?
 
Kwa hiyo kila Hekta 1 unaikodisha kwa Tshs 1Mil??
 
Watanzania lazima tumerogwa, kama unashindwa hata kusema shamba lipo mkoa gani unategemea nini?
Kwa msaada tu Madale iko Dar, njia rahisi inayojulikana ni kupitia Kiwanda cha cement cha Wazo Hill
 
Mkuu ni hecta au ekari au mimi ndo sijaelewa
 
Hupokei simu mbona au ulikuwa unatutega
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…