Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 4,489
- 6,883
Wakuu linahitajika shamba kuanzia ekari 20 hadi 50, bagamoyo hasa kuanzia fukayosi hadi kiwangwa. Shamba liwe lenye rutuba na linafikika kirahisi majira yote ya mwaka. Shamba lisiwe na mgogoro na lisizidi km 5 kutoka barabara ya lami ya msata bagamoyo.
Ofa kwa kila ekari ni shi 300,000. Ingawa inaweza kuongezeka au kupungua kulingana na hali ya shamba.
Tafadhali kama unalo au wewe ni dalali nipe taarifa zaidi kupitia pm. Vigezo na masharti kuzingatiwa
Ofa kwa kila ekari ni shi 300,000. Ingawa inaweza kuongezeka au kupungua kulingana na hali ya shamba.
Tafadhali kama unalo au wewe ni dalali nipe taarifa zaidi kupitia pm. Vigezo na masharti kuzingatiwa