Umeniwahi mkuu, hakuna shamba ambalo linauzwa laki moja kwa heka.mkuu hujasahau sifuri moja kweli wewe? au labda kuna sifuri siioni au ni yale mambo tembea uone huku Kilimanjaro yote hiyo ni bei ya nusu eka
Wenzako wananunua wewe unabeza acha kubeza vitu usivyovijua, au huna kitu unataka kuwakatisha wenzako?mkuu hujasahau sifuri moja kweli wewe? au labda kuna sifuri siioni au ni yale mambo tembea uone huku Kilimanjaro yote hiyo ni bei ya nusu eka
Hakuna tatizo lolote hii ni being halisi na wala sio uongoMkuu acha uongo, shamba hekari moja shilingi laki 1? hapa kuna tatizo.
Mkuu sidhani kama ni kweli, hekari 200 x 100,000 = 20,000,000 kweli? hiyo hata mimi naweza kununua tena haraka sana.Hakuna tatizo lolote hii ni being halisi na wala sio uongo
Usishangae mkuu,hapo mbugani Gp kuna jamaa kanunua hekari 100 kwa elfu 50 kwa kila hekariMkuu acha uongo, shamba hekari moja shilingi laki 1? hapa kuna tatizo.
Gp kwa maana ya Galapo au?Usishangae mkuu,hapo mbugani Gp kuna jamaa kanunua hekari 100 kwa elfu 50 kwa kila hekari
Ni kweli kabisa, sijifurahishi hapaMkuu sidhani kama ni kweli, hekari 200 x 100,000 = 20,000,000 kweli? hiyo hata mimi naweza kununua tena haraka sana.
Kama Shamba hilo litakuwepo hadi October, ntalinunuaLinafaa kupandwa Miti ya mbao
Linaukubwa Wa ekar 200 kila ekar bei ni 100000
Shamba lipo mkoani NJOMBE ktk tarafa ya Lupembe
Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0764426929 au 0655726929
Hata mimi nataka nijue urefu wa hilo short cut liitwalo GP... Tafadhali...Gp kwa maana ya Galapo au?
Nusu eka wapi kesho nije mtu wangumkuu hujasahau sifuri moja kweli wewe? au labda kuna sifuri siioni au ni yale mambo tembea uone huku Kilimanjaro yote hiyo ni bei ya nusu eka
Hata mimi imenishindaHata mimi nataka nijue urefu wa hilo short cut liitwalo GP... Tafadhali...
Poa mkuuNi kweli kabisa, sijifurahishi hapa
[Nusu eka wapi kesho nije mtu wangu