Shamba lenye Miti ya mbao aina ya pine linauzwa

Shamba lenye Miti ya mbao aina ya pine linauzwa

Joined
Sep 15, 2016
Posts
16
Reaction score
17
Zipo ekar 40 miti INA umri Wa mwaka mmoja
Bei ya kila ekar ni tsh 300000 pamoja na Ardhi
Shamba lipo kijiji cha MFIRIGA ktk mkoa Wa Njombe
Kwa mawasiliano zaidi nipigie
0764426929 au 0655726929
 
Kila la kheri mkuu.
Ila jina la eneo linakimbiza wateja.
Joking!!
 
Back
Top Bottom