Shamba la ekari 50 linauzwa

Shamba la ekari 50 linauzwa

tuwe wakweli

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2014
Posts
223
Reaction score
59
Heshima kwenu wawekezaji.Rejea kichwa hapo juu.Lipo Mkoan Iringa wilaya ya Kilolo sehemu za dabaga.Eneo hilo linafaa kwa kupanda miti ya mbao hasa PINES.Hali ya hewa na rotuba ni surpportive kwa shughul hiyo.Ekari 1 ni Tsh.140,000/=tu

NYOTE MNAKARIBISHWA.
 
hivi ukiotesha leo miti unavuna baada ya miaka mingapi
 
hivi ukiotesha leo miti unavuna baada ya miaka mingapi

Kuanzia miaka 7/8,unaweza kuvuna mbao za size ndogo at most 6,lkn ukiwa mvumilivu,vumilia ili ifikie umri wa kuvuna mbao saizi ya ten ambazo ina faida kubwa ambapo itakuchukua miaka kumi.
 
Heshima kwenu wawekezaji.Rejea kichwa hapo juu.Lipo Mkoan Iringa wilaya ya Kilolo sehemu za dabaga.Eneo hilo linafaa kwa kupanda miti ya mbao hasa PINES.Hali ya hewa na rotuba ni surpportive kwa shughul hiyo.Ekari 1 ni Tsh.140,000/=tu

NYOTE MNAKARIBISHWA.

Kijiji cha dabaga ni wapi??ni ndani sana kutoka barabara kuu ya Tz to Zambia??
 
Je eneo lafaa kwa ufugaji?
weka mawasiliano ya simu tafadhali
 
Bei huijaelewa kvp mkuu? ni laki moja na elfu arobaini tu kwa ekari 1.

Hujaeleweka wi mwisi, vaigusa 70,000-100,000 kwa ekari hiyo unayouza ww labda iwe angani lkn mfano kule mufindi tunanunua kwa bei nusu ya hiyo uliyotaja ww. Be realistics Mnyalukolo uhuisi huo si lunofu ndaa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom