Shamba la ekari 128 linauzwa chalinze

Shamba la ekari 128 linauzwa chalinze

Duh mkuu hapo kwenye kununua shamba zima ndipo pagumu..

Vipi huwezi kunikatia kipande kulingana na pesa yangu
 
Hili ni shamba lenye rutuba na lenye jumla ya ekari 128.
Bei kwa ekari moja ni shilingi 600,000 (Laki sita kwa eka moja)
Lipo umbali wa kilometea 5 tu kutoka Chalinze mjini,
Mwendo wa kama dakika 10-15 kwa gari kutokea chalinze mjini.
Anahitajika mnunuzi wa shamba zima.

Kwa mawasiliano: dalalitz@yahoo.com au 0714591548
Mkuu saa hizi banyamulenge wakiona hili tangazo udnda unawatoka
 
Kwa Shamba hili mwenye mali anapendelea auze lote.
Ila kama bajeti yako imepelea la msingi ni kujikuna unapoweza kufikia wewe mwenyewe.
Nipe sifa ya shamba unalotaka nikimaanisha;ukubwa, eneo na bajeti yako kama ninalo nitakuarifu na kama halipo nilifanyie kazi swala lako.
Asante.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom