Kwa bei hiyo inamaana kila ekari ni milioni thelasini na tano ( 35,000,000)! kama unashida na mashamba kwa bei ambayo ni reasonable tafadhali waulize members wafuatao: Malila, LAT, Kanyagio n.k Jamaa hawana tamaa za madalali kuweka makamisheni yao, watakupa information ambazo zitakusaidia sana kwenye issue za kilimo pamoja na ufuigaji.