Mwenye heka moja Kibaha aseme nije kununua kiwanja(kisiwe karibu na barabara,hapa naogopa bei) na kama shamba liwe na wakazi kidogo maeneo hayo lisiwe polini kabisa.
Kaka unaogopa bei kama karibu na barabara na vile vile unataka shamba ambalo kuna wakazi kidogo ila heka moja.Naomba umalizie vyote unavyotaka na usivyotaka na mwisho kiasi cha mshiko uliokuwa nao ili mtu atakaye meet condition aku pm au toa namba ya simu kwa mawasiliano zaidi ili mtu akitaka kukupeleka ukapaone kama mimi nipo Dar na nitakupeleka kuona kwa gharama ya Elfu hamsini kwa usafiri wangu non refundamble.Upo hapo mkuu??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.