Shamba ekari 580 linauzwa iringa

Shamba ekari 580 linauzwa iringa

zamadamu

Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
10
Reaction score
1
Shamba linauzwa lina ukbwa wa ekari 580 lipo iringa mitaa ya mgongo bei piga simu hii 0655 088055
 
Bei iko juu sana, na inabidi uweke vitu wazi, ni la nani? urithi au? shusha bei na uligane. hayo ni maoni yangu.
 
Shamba linauzwa lina ukbwa wa ekari 580 lipo iringa mitaa ya mgongo bei piga simu hii 0655 088055
tangazo lako linakosa vitu vifuatavyo; umbali toka Iringa mjini, je liko ndani ya manspaa aka city,je lina mali gani kwa sasa,nani ni mmiliki kwa sasa na kwa nini anauza, je miundombinu gani ipo ( maji/umeme/barabara). Hati miliki ipo au ndio zile za serikali ya kitongoji,Toa,maelezo vizuri mkuu.
 
tangazo lako linakosa vitu vifuatavyo; umbali toka Iringa mjini, je liko ndani ya manspaa aka city,je lina mali gani kwa sasa,nani ni mmiliki kwa sasa na kwa nini anauza, je miundombinu gani ipo ( maji/umeme/barabara). Hati miliki ipo au ndio zile za serikali ya kitongoji,Toa,maelezo vizuri mkuu.

liko umbali wa kama kilometa 3-5 kutoka barabara kuu ya kuelekea dodoma kabla hujafika nduli, na kina hati kamili na umeme ,maji na ina nyumba nzuri ya kuishi
 
Bado hueleweki nduli ndio wapi,uganda?

Nduli ni kijiji/kitongoji ambapo ndipo ulipo uwanja wa ndege wa Iringa. Unaweza kutoa makisio ya bei? Maeneo yale si ndiko yaliko mashamba ya madosi wa Iringa mjini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom