haitachukua muda umeme kufika maeneo ya karibu, kwani kama km 3 hivi, upo umeme, na eneo lote la mabwe pande liko kwenye mchakato wa kupimwa viwanja kwani ni karibu na lile la waathirika wa mabondeni, litakua mji wa kisasa kabisa
Kwa jinsi Serikali yetu ilivyo itachukuwa miaka mingi sana huduma kufika huko. Zile habari zilikuwa za kuwapoza waathirika wa mafuriko, hautasikia tena ndio imetoka. Maeneo mengine mjini kabisa hayana hizo huduma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.