Shamba eka 20 msowero (morogoro) bei chee

Shamba eka 20 msowero (morogoro) bei chee

Joined
Apr 16, 2013
Posts
20
Reaction score
2
Shamba lina ukubwa wa eka 20, lina kisima cha maji (hayakauki muda wote), nyumba ya kukaa, liko morogoro msowero,ni sehemu nzuri kwa kufuga nyuki, bwawa ya samaki, kilimo n.k bei ni milioni kumi tu, mawasiliano:0774797679
 
Mkuu hiyo bei haishuki aiseee....

Vipi ukaribu wake na barabara??

Vipi kuna umeme karibu???
 
Msowero, ni umbali gani toka mjini Morogoro
 
Km 95 toka moro town barabara yote kiwango cha lami!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom