Asenga wa Pakaya
JF-Expert Member
- Jul 13, 2012
- 260
- 61
Naibu Katibu Mkuu Wa Umoja Wa vijana Wa chama cha Mapinduzi Zanzibar Bwana Shaka yupo mkoani Mtwara kwa ziara ya wiki mmoja akitumia mbinu mbali mbali ambazo zimefanikiwa Zanzibar na kukitikisa chama cha CUF Znz hasa wakati Wa mwezi Wa sherehe za miaka 51 ya mapinduzi ya Zanzibar
Akiwa Mtwara amefungua rasmi mashina 10 ya vijana Wa CCM ambao awali vilikuwa vijiwe vya CUF
Shaka alionekana kuwavutia vijana wengi huku akiwapa mifano halisi ya Zanzibar kwa madhila yalioletwa na CUF huku akiwataka vijana kutodanganyika na kauli za viongozi Wa CUF kwani ni maneno matupu
"Hao jamaa wasiwadanganye...Znz wanamakamu Wa kwanza Wa Rais wanamawaziri...lakini hakuna wanachofanya zaidi ya kuongeza kuoa wake kila siku.."
Akiwa Mtwara amefungua rasmi mashina 10 ya vijana Wa CCM ambao awali vilikuwa vijiwe vya CUF
Shaka alionekana kuwavutia vijana wengi huku akiwapa mifano halisi ya Zanzibar kwa madhila yalioletwa na CUF huku akiwataka vijana kutodanganyika na kauli za viongozi Wa CUF kwani ni maneno matupu
"Hao jamaa wasiwadanganye...Znz wanamakamu Wa kwanza Wa Rais wanamawaziri...lakini hakuna wanachofanya zaidi ya kuongeza kuoa wake kila siku.."