Shahidi awatambua Sabaya na wenzake ndio waliwavamia dukani

Key word, alibi.
 
Sabaya alimuiga bashite jinsi ya kupora pesa za watu, Utawala wa sheria ungekuwepo bashite angekuwa ndani
Bashite kesi za extortion anazo nyingi sana, inaonekana hakuna wa kumvalisha paka kengele.
 
Sabaya alifanya ukatili wa kutisha mno!!! Watu walitamani kufa mbele yake ila hawakufa,na waliokufa walikufa kwa mateso ya kusikitisha mno, Sabaya hana hukumu inayomstahili dun8a hii,labda tu Mungu amchulue akamhukumu mwenyewe!!!
 
Mkuu wa wilaya mporaji wewe unakuta mtendaji??
Hujui hata kazi za mkuu wa wilaya linabwabwaja tu kama mwehu
 
Yaani polisi aje amuamuru mkuu wa wilaya kuwaachia aliowashikilia..!?? AKILI HIZI..!!!
 
..hili tukio lilisharipotiwa tangu wakati wa Magufuli.

..tatizo serikali ya Magufuli ilikuwa haina utashi wa kumchukulia hatua Sabaya.
Na ushahidi wa CCTV camera ndo utammaliza mazima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…