Shabiki amtolea povu Mo Dewji

Mo amekuwa mswazi, yani huwezi sema ni tajiri.
Mo kama Diamond.

Sijui bongo katuloga nani, mtu anashindwa kulinda status yake.

Haya mambo angeachia mashabiki, atajenga chuki bure na watu kuchukia bidhaa zake.

Poor Dewji
Wakina nani wachukie bidhaa zake?

Mbona diamond hawachukii nyimbo zake?

Watanzania hampendi mtu aishi maisha yake hapo katania ila mtu kapovukwa.
 
Back
Top Bottom