Wont be the same
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 1,564
- 2,483
Hemed Shabani Nkunya, Mfanyabiashara na Mjumbe wa Kamati ya Uchumi na Fedha wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mbweni Mpiji mkoani Dar es Salaam ametia nia ya kugombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Kawe mkoani humo kwa tiketi ya CCM.
Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025
Mapema leo amefika katika Ofisi za CCM Wilaya ya Kinondoni na kukabidhiwa fomu na Katibu Msaidizi wa Uchaguzi CCM, Amos na tayari kuuanza mchakato kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025.
Chanzo: JamboTV
Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025
Mapema leo amefika katika Ofisi za CCM Wilaya ya Kinondoni na kukabidhiwa fomu na Katibu Msaidizi wa Uchaguzi CCM, Amos na tayari kuuanza mchakato kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025.
Chanzo: JamboTV