sijawahi kuiamini Yanga chini ya gsm yaani jamaa wanaendesha timu kama wanavyoendesha biashara zao kijanja janja tu, mara la liga, mara kalinyozi, mara lamine moro, mara jezi za yanga timu inakula elfu moja tu kila wakiiuza! wanayanga watadanganywa kwani wameshageuzwa mazoba!