Sh 64 bilioni zatumika sherehe za Uhuru!

1.Wewe mbona umeshaligusa.Nilifikiri hata wewe ni great thinker.
2.Jaribu kuongeza umakini kwenye kuchambua hoja.Hapa unachanganya matumizi ya fedha za umma na za mtu binafsi.
 
View attachment 43258
Hii ndo gharama ya ule mjengo wa pspf pale posta.
Mimi nafikiri pesa hiyo ingetumika walau tatizo moja kati ya maradhi,umaskini na ujinga kuliko kutapanya kiivo.
Happy birthday Tanzania of 50 years of DEPENDENCY
 
Huu ndio utamaduni wetu watanzania. Unaanzia katika hatua ya mtu mmoja mmoja mpaka kwa taifa. Kuna tofauti gani kati ya hiki kilichofanyika kwenye sherehe za uhuru wa Tanganyika na watu kutumia Tshs 50 million kwa harusi kwa harusi ya masaa machache kwa siku?
 
kwa kauli yako mkuu ni bora kuanza kuomboleza, kumbe watz wote huenda tukawa na 'vichwa nazi'!
Leo asubuhi nimesikia interview BBC (network Africa) ya rais wa Gambia, Yahya Jameh alivyojigeuza mganga (dikteta) wa kienyeji sasa nikajiuliza, hivi huyu naye akikaa na maraisi wengine UN au AU anajiona ni sawa nao kwa vile wote ni head of States!? (ukiondo wenzie wachache wanaofanana naye)
Miaka 50 hatujui priority ni kitu gani mbali na matumbo yetu!
 
haya yanafanyika kwasababu waoga wengi mmejificha humu JF then mnajidai great thinkers wanaharakati wakisema tufanye maandamano hamuonekani waacheni watumie si mnajua starehe gharama watabadilika iwapo nyie mazuzu mtaacha ujuha.
 
Sasa hivi hela zinapelekwa kwenye lami,reli,anga na umeme wanasema si kipaumbele

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…