Nipo mkuu maisha tu yanafanya tupotee ghaflaBwashee ulipotelea wap😀
Chamsingi inatembea 😁Me ninachojuaga miguu ni miguu tu
Maana ukiwafata sana hawa vijana wa jf,unaweza ukaanza kumtoa kasoro mkeo au unaanza kuangalia wanao wana miguu ganiChamsingi inatembea
Tuna nini bwasheeIla Vijana wa Tanzania 😂😂😂
Kwa hiyo wa huko migombani/Rombo! Wanaangukia category gani?Kuna aina mbili za mvuto wa miguu kwa mwanamke ambazo kwa macho ya mwanaume uchangia ashiki, Uongo?.
Sexy legs ni miguu yenye mpangilio unaovutia kwa macho, ni miguu iliyojengeka vizuri, laini, na ina shape inayofanya itazamwe kwa utulivu.
Mvuto wake huwa unaamsha hisia Kali kimtindo Kila inapotazamwa ikiachwa wazi si sawa na miguu ya wanawake wote ni ya kipekee..
Wakati huo huo, miguu ya Bia ni miguu yenye ujazo mkubwa chini na mapaja yenye ujazo mdogo unaovutia japo wakati mwingine yanaweza kujaa ni Kwa wachache., ni miguu yenye mvuto au sio?
Mvuto wake huwa wa moja kwa moja, unaojionesha bila kujificha. Si kama ule WA sex leg MPAKA kujifaragua kidogo😄.
Kwa kifupi, Sexy legs huvuta kwa hasa inapokiwa wazi sana na Miguu ya bia huvutia hata isipokuwa wazi mfano ikiachiwa kidogo au MTU akivaa suruali.
Kila MTU anavutiwa na aina ya miguu je wewe uko wapi
A. Sexy Legs
B. Miguu ya Bia
PICHA KADHAA WADAU WENGINE ONGEZENI SEXY LEG VS MIGUU YA BIA NB KWANINI SEXY LEG SINKILA KIGUU YA BIA INAWEZA KUWA SEXY LEG
Nime mix miguu hapa chini sexy leg na miguu ya Bia huu wakwanza na WA mwisho ni sexy leg ya kati ni miguu ya bia
View attachment 3559117
View attachment 3559115View attachment 3559116
Hakuna masukuma MWENYE fito kama kweli bebe nsuguma , basuguma bale ba wiza no, bale magolio ga bia, bebe okobiza nkima ngudgudu getez😄Naendelea kujifunza mengi, sisi wenye fito sijui itakuwaje 🥺
Wapo mkuu, nene nale na tugulu twa nyabolebole duhu, gete ngoko🥺Hakuna masukuma MWENYE fito kama kweli bebe nsuguma , basuguma bale ba wiza no, bale magolio ga bia, bebe okobiza nkima ngudgudu getez😄
Rombo wapo wenye miguu ya kawaida tuu, iliyojaa kiasi, wembamba nao kiasi ya beer wachache,Kwa hiyo wa huko migombani/Rombo! Wanaangukia category gani?
Inategemea wanaweza kuwepo wenye category zoteKwa hiyo wa huko migombani/Rombo! Wanaangukia category gani?
Hata na mie Mkuu sikuwahi kuwaza hii kitu. LolMe ninachojuaga miguu ni miguu
Wengine hawaoni hilo mkuuMe ninachojuaga miguu ni miguu tu
Wanao tena🤣🤣Maana ukiwafata sana hawa vijana wa jf,unaweza ukaanza kumtoa kasoro mkeo au unaanza kuangalia wanao wana miguu gani
Yah macho hayana pazia siku wanaweza kuvaa minisket ukaona halafu ukaanza kurelate na unayoskia...Wanao tena