Sexual arousal syndrome!

Sexual arousal syndrome!

sokwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2011
Posts
2,022
Reaction score
1,062
Tumezoea kusema huyu dada Ana pepo wa ngono! It's called persistent sexual arousal syndrome, mwanamke anakuwa na hamu ya kufanya ngono wakati wowote Hali hiyo inapomtokea na inawezekana kutokea hata Mara 50! Kwa siku, hakuna njia nyingine isipokuwa kupiga nyeto au kulala na mwanaume/wanaume ili kukidhi haja yake. Ni Hali inayowaathiri wanawake kisaikolojia kwani wamekuwa wakihukumiwa na jamii/familia Kama Malaya, jaribu kufikiria ikiwa you can ejaculate 10 times within an hour! Imepelekea wanawake wengine kujiua, so far there's no treatment.
 
Tumezoea kusema huyu dada Ana pepo wa ngono! It's called persistent sexual arousal syndrome, mwanamke anakuwa na hamu ya kufanya ngono wakati wowote Hali hiyo inapomtokea na inawezekana kutokea hata Mara 50! Kwa siku, hakuna njia nyingine isipokuwa kupiga nyeto au kulala na mwanaume/wanaume ili kukidhi haja yake. Ni Hali inayowaathiri wanawake kisaikolojia kwani wamekuwa wakihukumiwa na jamii/familia Kama Malaya, jaribu kufikiria ikiwa it's ejaculate 10 times within an hour! Imepelekea wanawake wengine kujiua, so far there's no treatment.

So, what do want us to do!!!!!!!
Kweli wewe ni sokwe!!!!!!
 
Majanga! Mbona majanga.Ngoja tusubiri akina dada watupe more details kuhusu hii hali ya kupenda ladha
 
ukosee uoe huyo sasa wee... Nilishuhudia 2006:
 
Maybe you don't know why we are here! And I ain't got time to explain to you coz you're dumb stupi.d.
 
Mkuu mada hii ni nzuri but hembu iandike vizuri kidogo kwa aidha kuhoji,kuhitaji watu wa share their ideas,knowledges au iwe informative etc.. Then ipeleke MMU tukutane huko
 
Mkuu mbona inaeleweka vizuri tu, bado madaktari/wanasayansi hawafahamu kitu gani kinasababisha multiple orgasm ni tatizo linalowahusu wanawake tu.
 
^^
Hili lina uhusiano wowote na shule za watoto wa kike kuanguka kwa sexual arousal?
^^
 
Kuna mwanamke mmoja niliwahigi kusoma habari zake nae hii kitu huwa inamsumbua sana
 
Tumezoea kusema huyu dada Ana pepo wa ngono! It's called persistent sexual arousal syndrome, mwanamke anakuwa na hamu ya kufanya ngono wakati wowote Hali hiyo inapomtokea na inawezekana kutokea hata Mara 50! Kwa siku, hakuna njia nyingine isipokuwa kupiga nyeto au kulala na mwanaume/wanaume ili kukidhi haja yake. Ni Hali inayowaathiri wanawake kisaikolojia kwani wamekuwa wakihukumiwa na jamii/familia Kama Malaya, jaribu kufikiria ikiwa you can ejaculate 10 times within an hour! Imepelekea wanawake wengine kujiua, so far there's no treatment.

mkuu Sokwe hii kitu ina tiba nayo ni mwathirika kuwatumia counselors kwani hutibu vizuri. That's to say psychotherpy ni nzuri kuliko dawa za viwandani.
 
Haina Tiba wakuu isipokuwa psychotherapy na antidepressants zinaweza kusaidia kupunguza mihemko ila sio kwa kiasi kikubwa,wapo waliooa na baadae tatizo likajitokeza ikapelekea ndoa kuvunjika na wengine kuvumiliana,tatizo hili linaweza kuanza kuanza ktk umri wowote.lina athari kubwa sana kisaikolojia na linasababisha msongo wa mawazo, fikiri hata Kama anaendesha gari au yupo ofisini, matembezini hali hiyo ikimtokea lazima afanye masturbation wengine ktk dakika moja inaweza kuwa Mara 20, they might have 100 in a day! Aisee maradhi mengine ndio maana mungu amesema tusihukumu.
 
Hawa ndio wale unchapa mpaka unatoka mafua, yeye ndo kwanza anajisomea zake gazeti, wewe Chali kule..
 
So, what do want us to do!!!!!!!
Kweli wewe ni sokwe!!!!!!

Huyu siyo Sokwe! Anakuelimisha ili ukimwona mtu wa aina hiyo usi take advantage ukamwona malaya, ila ujue tu kuwa huo ni ugonjwa babaa!!! Ukiwa na binti yako au ndugu yako wa aina hii usikimbilie kuchukua hatua ya kumwadhibu maana kujua tatizo ni nusu ya kupata ufumbuzi wake! Usikurupuke tu kumbe sokwe ni WEWE! JF bwana! Tuko wengi!
 
Ni kweli daudi Omar Hali hiyo ni tofauti na Hali mwanamke hujisikia anapotaka kufanya mapenzi hii ni genital stimulation japokuwa ili apate nafuu ni lazima afanye ngono/tendo la ndoa au masturbation wanasema inawezekana likawa libasababishwa na hormone au matatizo ya nerves ila utafiti bado unaendelea.wanasema matatizo haya yanaonekana yapo zaidi ulaya na Asia kwasabab kuu moja ni nchi zilizoendelea na kustaarabika ni rahisi kwa mwanamke kuzungumza tatizo lake na kueleweka tofauti na jamii zetu za Africa ambazo utaonekana kicheche au Malaya mpenda ngono.
 
Back
Top Bottom