Vijana punguzeni ngonoWakuu kwema ! Nisiwachoshe sana naenda moja kwa moja
Nini kinatokea katika ubadilishanaji wa nguvu kwa mwanamke mchanga na mwanaume mzee vivyo hivyo mwanaume mchanga na mwanamke mzee
Kisha nipate ufafanuzi kwann ukionja penzi la mwanamke mkubwa sana unajikuta unatii mambo yake na kujinasibu sana kuomba msamaha kwa makosa yake .
Wajuzi mkuje
Unajifanyaga mtakatifu๐hebu nifanye utafiti alf nitarudi
ishiiiii ni wapi nimesema mimi ni mtakatifu?Unajifanyaga mtakatifu๐
Mkuu hapo hutapata kitu, watu watakuleta conspiracy tu, pambana mkuu maisha yanahitaji mapambano, piga kazi, huwezi kuwaza huo ujinga.Mkuu usiwaze hasi tu tunamambo tunataka kujua.
Naunga mkono hojaMkuu hapo hutapata kitu, watu watakuleta conspiracy tu, pambana mkuu maisha yanahitaji mapambano, piga kazi, huwezi kuwaza huo ujinga.
Sio kwamba ujinga mkuu ila Wimbi kubwa la vijana wanajinasibu katika hio hali hatuwezi waacha wakateketeaMkuu hapo hutapata kitu, watu watakuleta conspiracy tu, pambana mkuu maisha yanahitaji mapambano, piga kazi, huwezi kuwaza huo ujinga.
๐๐๐ Shenjiii gheteishiiiii ni wapi nimesema mimi ni mtakatifu?
muone๐ ๐๐๐๐ Shenjiii ghete
Umejua kuniaibisha siomuone๐ ๐
yesu, nimekuabisha kivipi?Umejua kuniaibisha sio
Si unanikataa kila nikirusha ndoanoyesu, nimekuabisha kivipi?
lini? mbona mi sijaona ndoano yako๐คSi unanikataa kila nikirusha ndoano
Haya jorowe, ila nitakunasa tuu๐lini? mbona mi sijaona ndoano yako๐ค