SEX: A taboo for wana Jamii Forums? Just thinking out loud!!

Erotica

JF-Expert Member
Apr 24, 2012
2,513
1,735
Mara Erotica ana pepo la ngono. Mara ooh mtu gani topic zote ziwe za ngono. oooh inabidi aombewe.
Waangalie kule!! Siachi! SEX is my Brand name. And Erotica Erocious my name.

I am wandaring, wangapi hapa hawawazi kuhusu ngono hapa na pale? Wangapi mabikira hawajawahi
onja kabisa? Wangapi hawana wapenzi/washirika ngono hapa? Kwanini ni waoga hivo wa kutoa hoja
zenyu? kwa nini mtajivisha utukufu na halil mmejifisha kwenye hizo avatars za oungo na ukweli?
Niigeni mimi, picha ni yangu, jina ni langu, na mawazo ni yangu. haya ninayowakilisha haypo jamii yenyu?

Hivi kumbe ni ajabu sana mtu kuongelea SEX na kuomba ushauri? Hili somo la Sex ni taboo?
Enyweyz leo nina furaha sana. Boi frend wangu kapona, we are in it for a whole weekend. TGIF!


Mwaaaaah. :A S kiss:
 
kwa hiyo unataka tuvunje sheria ya jf kuweka jina na avatar ambazo sio za kweli kwa ajili ya usalama wa raia na mali zao,we kama umeona jina na picha yako havina tatizo ni wewe usianze kusulutisha watu hapa,'niigeni mimi' who are you?
 
Wooh!!!big fan of yours and you will always bakia moyoni mwangu EROTICA.Will be back with a comment.
 
Mara Erotica ana pepo la ngono. Mara ooh mtu gani topic zote ziwe za ngono. oooh inabidi aombewe.
Waangalie kule!! Siachi! SEX is my Brand name. And Erotica Erocious my name.

I am wandaring, wangapi hapa hawawazi kuhusu ngono hapa na pale? Wangapi mabikira hawajawahi
onja kabisa
? Wangapi hawana wapenzi/washirika ngono hapa? Kwanini ni waoga hivo wa kutoa hoja
zenyu? kwa nini mtajivisha utukufu na halil mmejifisha kwenye hizo avatars za oungo na ukweli?
Niigeni mimi, picha ni yangu, jina ni langu, na mawazo ni yangu. haya ninayowakilisha haypo jamii yenyu?

Hivi kumbe ni ajabu sana mtu kuongelea SEX na kuomba ushauri? Hili somo la Sex ni taboo?
Enyweyz leo nina furaha sana. Boi frend wangu kapona, we are in it for a whole weekend. TGIF!


Mwaaaaah. :A S kiss:

Mim sijawahi.
Ila siyashangai maongezi yako labda ndiyo yanayokufurahisha na hapa kila mtu ana uhuru wake wa kuongea ilimradi humtukani mtu.
 
we unawaza ngono wengine wanawaza hii kitu


303488_308849142526781_100002050929268_683637_905105051_n.jpg
 
jamani mim inawaza kufanya ngono sasahivi tena namuwaza erotica kwelikweli..eee infwakt erotica baby..nakuwaza sana
 
kwa hiyo unataka tuvunje sheria ya jf kuweka jina na avatar ambazo sio za kweli kwa ajili ya usalama wa raia na mali zao,we kama umeona jina na picha yako havina tatizo ni wewe usianze kusulutisha watu hapa,'niigeni mimi' who are you?

Asnam niambie ni sheria gani nimevunja? Mbona unajifanya huelewi?

au kweli mbumbumbu na hujaelewa nilikua namaanisha nini?
 
Last edited by a moderator:
Erotica una mambo............lakini there is more to life than sex.............halafu wengine tumekuzwa tofauti, hadi leo tunabana miguu


Lemonade mie sio mtoto mdogo. Nina kazi simtegemei mtu hio ni jibu tayari

kua najua there is more to life than sex. Nisipoweka mimi topic

hio nani ataweka? Bucho? si umeona yeye anawaza tu pombe :yawn:
 
hebu wakupishe huko....nani ambae hatumii hako kakitu....
heri yangu mimi nimeandikiwa na daktari....infwakti w/end hii nina dozi nene.....TGIF....yipeeee


wanshangaza tena wanchekesha! wanajifanya hawatumii. wacha tujipatie raha Preta.
 
Last edited by a moderator:
Mim sijawahi.
Ila siyashangai maongezi yako labda ndiyo yanayokufurahisha na hapa kila mtu ana uhuru wake wa kuongea ilimradi humtukani mtu.

queenkami

Vinifurahishavo ni vingi. SEX ni kipengele tu cha yale yanayonifurahisha. Week ina

siku 7 ikiwa na Masaa 124. Ni mangapi natumia kuzungumzia sex? unadhani mimi kauzu?

unadhani kwa nini situmii ID yangu ya siku zote? sababu ya uzumbukuku na kujifanya

kujua kwa members kwa kujiona watukufu kwa kutokuongelea tu SEX. Waende zao kulee!

No wonder UKIMWI unaongeza kasi. watu hawataki kuongea wanataka ku do tu!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: LD
we unawaza ngono wengine wanawaza hii kitu


303488_308849142526781_100002050929268_683637_905105051_n.jpg



Kuna mahala nisema nawaza? Hujanisoma bucho, nimesema napenda.

I wanda akili yako ikoje kama kila mda unawaza pombe. Una familia wewe?
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: LD
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom