Settings za net airtel

Kama kuna mtu anazo settings za internet za mtandao wa Airtel naomba anipatie.
  • Je ni settings kwenye simu au PC
  • Kama ni simu ni kuweka APN tu ambayo ni neno internet
  • Fafanua zaidi ili upate msaada stahili
 
  • Je ni settings kwenye simu au PC
  • Kama ni simu ni kuweka APN tu ambayo ni neno internet
  • Fafanua zaidi ili upate msaada stahili

Na cm km ni smartphone zote lzma uende oficn kwao coz wanafanya manually, waliniboa sana
Sio km mitandao mingine
 
Samsung, GT S5301

Ok.
Cjui ndo hizo hizo!!!s4...bt huwezi Amini nikiweka mitandao mingine fresh ila eatel ndo hivyo ndo ni Kaambiwa mpaka niende.nikaenda wakafanya manually ndo ikakubali na niliwailuza wakasema ndo utaratibu wao.
Ss cjui
 
Ok.
Cjui ndo hizo hizo!!!s4...bt huwezi Amini nikiweka mitandao mingine fresh ila eatel ndo hivyo ndo ni Kaambiwa mpaka niende.nikaenda wakafanya manually ndo ikakubali na niliwailuza wakasema ndo utaratibu wao.
Ss cjui


Labda inategemea na cm mwanzo ilikua haikubali nikaambiwa had niende ofcn kwao mi na ubishi wangu nikaendelea tu kufanya setting mwenyewe had ikakubali.
 
Simu za kichina hazikubali hadi uende ofcn kwa airtel. nunuweni cm nzuri zenye viwango wajameni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…