Seriously NIMESHINDWA KUPENDA YEYOTE

Seriously NIMESHINDWA KUPENDA YEYOTE

Parata

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2011
Posts
3,090
Reaction score
692
Mimi ni mwanaume na nina age ya 26,kiukweli katika maisha yangu nahisi kama kuna kitu nimekikosa ambacho weng wanacho,nacho ni kupenda msichana.kiukweli iko kitu sina na ninaposkia mtu kajiua kisa mapenzi huwa najiona watofauti sana.Hakuna aliowahi kunivutia nikasema nampenda japo weng wananipenda ilo niwe muwazi ila sijatokea kuwa na upendo wa kimapenzi,JE NITATATUAJE HILO TATIZO?
 
Kila shetani na mbuyu wake!utampata tu wakumpenda mark my words!lkn wakati mwengine i envy people like you coz love is wonderful but its painful too my dear!
 
Dah thanks kwa ushauri wako mzuri
Kila shetani na mbuyu wake!utampata tu wakumpenda mark my words!lkn wakati mwengine i envy people like you coz love is wonderful but its painful too my dear!
 
...haufanyi ule mchezo mbaya wa kutumia sabuni??
 
Unababua lakini maana kama haubabui hilo litakuwa tatizo jengine!!!
 
Sijatawaliwa na chochote huwa cpend t cjui kwa nin
 
mmh... kweli tunatofautiana sana wajameni!!

mi nilianzaga kupenda kabisa in deep nilipokuwa darasa la kwanza..! nikiwa na miaka saba hivi!

nisdanganye wakuu, msichana niliyempenda enzi hizo, hajanitoka kichwani mpaka leo..

tatizo sasa likaja.. (atakayependa tuendeleze story!! aniambie!!)
 
Excel kweli umejitaidi miaka 7 daaa
 
unajihusisha kingono na wanawake tofauti tofauti? kama ndio hiyo ni sababu pia.
 
unahtaji ushaur wa mwanasaikolojia na hlo tatzo litapatiwa ufumbuz.npm
 
Baki hivyo hivyo maana mwaka wa kupenda utawasahau ndugu zako! ila hicho ni kilema onana na daktari wa viungo
 
mmh... kweli tunatofautiana sana wajameni!!

mi nilianzaga kupenda kabisa in deep nilipokuwa darasa la kwanza..! nikiwa na miaka saba hivi!

nisdanganye wakuu, msichana niliyempenda enzi hizo, hajanitoka kichwani mpaka leo..

tatizo sasa likaja.. (atakayependa tuendeleze story!! aniambie!!)

mkuu excel endelea.
 
Utakuwa una mengi kati ya haya: mbinafsi wa mapenzi, wanawake wote kwako wako sawa (hakuna mbaya wala mzuri), wanawake wengi wanakutaka, msiri sana, unatongozwa sana na wanawake na hujui kukataa, huwadanganyi wanawake katika mahusiano na huwezi kuweka duku duku (akikuudhi unamwambia hapo hapo) na mwisho upo makini sana na maisha. Mimi ni muhanga wa kutokupenda na nina yote hapo juu.
 
kila kitu kina kuja kwa wakati wake.yamkin bado hujampata yule aliyeugusa mtima wako .na ukimpata utashangaa ulichelewawap kupenda..au umeshaathilika psychological kwamba wanawake ni wasaliti na mapenzi yanaumiza hivyo kuogopa kupenda.usiulazimishe moyo wako kufanya kitu ambacho hautaki usije ukalamba galasa..tulia mda ukifika utapenda tu....
 
excelmmh... Kweli tunatofautiana sana wajameni!! Mi nilianzaga kupenda kabisa in deep nilipokuwa darasa la kwanza..! Nikiwa na miaka saba hivi! Nisdanganye wakuu said:
endelea wangu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom