Seriously....NEC/NBS na Msajili, watanzania we want it

Mie nikiangalia umri wa Lubuva na haya mambo ya ICT sitegemei kitu pale....

Ataajiri watu! yeye yupo pale kusimimamia inawezekana tu kwani kaanza vizuri juzi nilimshuhudia mwenyewe akimkoromea Andangenye kwa nini polisi wengi hapa arumeru mashariki? "Unatisha wapiga kura" Ande akamjibu mzee "wasiliana na wakubwa zangu mie natekereza tu hii ni amri"
So inaelekea Lubuva anataka kuwa strong anataka support ya wananchi basiiiiiiiiii
 
Ataajiri watu! yeye yupo pale kusimimamia inawezekana tu kwani kaanza vizuri juzi nilimshuhudia mwenyewe akimkoromea Andangenye kwa nini polisi wengi hapa arumeru mashariki? "Unatisha wapiga kura" Ande akamjibu mzee "wasiliana na wakubwa zangu mie natekereza tu hii ni amri"
So inaelekea Lubuva anataka kuwa strong anataka support ya wananchi basiiiiiiiiii
Good Move..mbona waandishi wetu hawakuireport hii
 
Naona sio muda muafaka wa kutoa Pongezi!! Kwani Jana ITV waliripoti uwepo wa kura ambazo zilikuwa zimeshapigwa zilikamatwa na watu kuwekwa kuzuizini!! Ni Muda wa tume kutueleza Kura hizo zilitoka wapi? na karatasi za Kura walizipata wapi? Inaonekana haka kamchezo Tume wanako siku Nyingi!! Kuchahachua!!
 
Naona sio muda muafaka wa kutoa Pongezi!! Kwani Jana ITV waliripoti uwepo wa kura ambazo zilikuwa zimeshapigwa zilikamatwa na watu kuwekwa kuzuizini!! Ni Muda wa tume kutueleza Kura hizo zilitoka wapi? na karatasi za Kura walizipata wapi? Inaonekana haka kamchezo Tume wanako siku Nyingi!! Kuchahachua!!

Mkwe21
uwepo wa makaratasi fake yaweza kuwa ni mbinu chafu za vyama na kama NEC ni strong inaweza kulibaini na kujipambanua na hilo na wahusika kubanwa
ikumbukwe pia hata watumishi wanaweza kuhongwa lakini kama mfumo ni mzuri utawabana tu
 
Hiyo kasi ya NEC kutumia ICT wataitoa wapi? Haya ni mabadiliko makubwa sana ambayo yanatakiwa yatengenezwe na katiba mpya ambayo italeta Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka.
Uwezo upo kama nia ipo...
 
Back
Top Bottom