uchumba ni serious case sasa post yako imekaa kuwajaribu watu halafu unasema mda wote uko kazini hapo pana uchumba kweli au unataka kuwaliziana tu vocha funguka zaidi huwezi pata mtu kwa staili hiyoHabari zenu wanajf.
mimi ni mschana,nina elimu ya degree, ni mkristo, natafuta mchumba mkristo asizidi miaka 33.
Naomba sana unitumie sms, usipige simu tafadhali maana nipo kazini muda wote. Sms zote zitajibiwa.
0767 213079.
Habari zenu wanajf.
mimi ni mschana,nina elimu ya degree, ni mkristo, natafuta mchumba mkristo asizidi miaka 33.
Naomba sana unitumie sms, usipige simu tafadhali maana nipo kazini muda wote. Sms zote zitajibiwa.
0767 213079.
Wishing u all the best! Ila ungekua mpana kidogo! Weka umri wako, Uzito na urefu wako. Pia ainisha kiwango chako cha ustahimilivu katika matatizo, mambo usiyoyapenda kwa mwanaume nk. Funguka!
Habari zenu wanajf.
mimi ni mschana,nina elimu ya degree, ni mkristo, natafuta mchumba mkristo asizidi miaka 33.
Naomba sana unitumie sms, usipige simu tafadhali maana nipo kazini muda wote. Sms zote zitajibiwa.
0767 213079.
Sasa tutaibanjuwa amri ya sita saa ngapi?? Aaarrghh!!! Nina vigezo lakini hunifai.Habari zenu wanajf.
mimi ni mschana,nina elimu ya degree, ni mkristo, natafuta mchumba mkristo asizidi miaka 33.
Naomba sana unitumie sms, usipige simu tafadhali maana nipo kazini muda wote. Sms zote zitajibiwa.
0767 213079.
Habari zenu wanajf.
mimi ni mschana,nina elimu ya degree, ni mkristo, natafuta mchumba mkristo asizidi miaka 33.
Naomba sana unitumie sms, usipige simu tafadhali maana nipo kazini muda wote. Sms zote zitajibiwa.
Habari zenu wanajf.
mimi ni mschana,nina elimu ya degree, ni mkristo, natafuta mchumba mkristo asizidi miaka 33.
Naomba sana unitumie sms, usipige simu tafadhali maana nipo kazini muda wote. Sms zote zitajibiwa.
mbona cjaona namba ya simu au nina makengeza? Ni Pm bac 2lianzishe