Sijapata PM yoyote toka jana baada ya kuweka Tangazo hapa la kumtafuta mchumba wa kike, sijui ni kwa sababu ya vigezo? ok, nalegeza,
Mimi ni mvulana miaka 27 nafanya kazi mwanza na elimu yangu ni ya chuo, natafuta mchumba wa kike ambaye atakuwa mke, awe na kazi yoyote halali na awe anaishi popote lakini ndani ya Tanzania hii. aliye tayari ani-PM .
Please awe serious tu.
Mimi ni mvulana miaka 27 nafanya kazi mwanza na elimu yangu ni ya chuo, natafuta mchumba wa kike ambaye atakuwa mke, awe na kazi yoyote halali na awe anaishi popote lakini ndani ya Tanzania hii. aliye tayari ani-PM .
Please awe serious tu.