Serious man needed baadae awe mume

Term number 8 hapo.....je akiuziwa mbuzi kwenye gunia
 
Umesema mpaka ujirizishe kuwa anafaa kwa future ndo ufanye naye mapenz.... Je ikitokea kipind ww umeshajirisha na yeye kufanya mapenz yeye akawa bado utafanyaje
 


Mtoa Mada saluti kwako, Hii No. 8 bhanaaa umetudhihirisha na kuonyesha uhalisia ya kuwa mapenzi yetu yameegemea kwenye papuchi kuliko maana halisi ya mapenzi.
Yaani udhaifu wenu mmeudhihirisha na huu mtego umekamata sana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…