Serikali ziwaache YANGA na SIMBA

Serikali ziwaache YANGA na SIMBA

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,521
Reaction score
96,267
Wana bodi,

Huu ni wakati muafaka kuikosoa serikali hii ya CCM ya awamu ya tano kuwacha kuingilia mipango thabiti ya kuinua na kuendeleza soka kupitia kwa wawekezaji wenye mapenzi na timu hizo kwa kuamua kuwekeza mabilioni ya fedha kwenye timu hizo.

Leo hii BMT wanajitokeza na kusimamisha zoezi hilo kwa msingi upi? Wao wana zisaidia nini hizo SIMBA na YANGA? Au ndio wale wanao lazimisha mfumo wa kujipatia vipato kupitia migongoni mwa hizo timu?

TUJADILI KWA MANUFAA YA SIMBA na YANGA
 
Wana bodi huu ni wakati muafaka kuikosoa serikali hii ya ccm ya awamu ya tano kuwacha kuingilia mipango thabiti ya kuinua na kuendeleza soka kupitia kwa wawekezaji wenye mapenzi na timu hizo kwa kuamua kuwekeza mabilioni ya fedha kwenye timu hizo.Leo hii bmt wanajitokeza na kusimamisha zoezi hilo kwa msingi upi?wao wana zisaidia nini hizo simba na yanga?au ndio wale wanao lazimisha mfumo wa kujipatia vipato kupitia migongoni mwa hizo timu?
TUJADILI KWA MANUFAA YA SIMBA na YANGA
Brother Mmawia hivi vilabu havipaswi kufanya shortcuts zibadili katiba zao ziendane na matakwa yao.

Vinginevyo wataendelea kukwama kwa kuedekeza uswahili na shortcuts
 
Wana bodi huu ni wakati muafaka kuikosoa serikali hii ya ccm ya awamu ya tano kuwacha kuingilia mipango thabiti ya kuinua na kuendeleza soka kupitia kwa wawekezaji wenye mapenzi na timu hizo kwa kuamua kuwekeza mabilioni ya fedha kwenye timu hizo.Leo hii bmt wanajitokeza na kusimamisha zoezi hilo kwa msingi upi?wao wana zisaidia nini hizo simba na yanga?au ndio wale wanao lazimisha mfumo wa kujipatia vipato kupitia migongoni mwa hizo timu?
TUJADILI KWA MANUFAA YA SIMBA na YANGA
Kwa nini hao wawekezaji kama wana nia ya dhati wasianzishe timu zao?
Manji kafanya kipi kikubwa pale yanga kiasi cha kutaka kukodi nembo kwa miaka 10,eti ailipe yanga milioni 100 tu kwa mwaka,huo ni utapeli wa hali ya juu kuwahi kutokea
Hizi club zilianzishwa ki burudani,anaetaka kuwekeza lazima atoe somo refu sana vinginevyo akaanzishe timu yake
Hao ni wafanyabiashara,itafika wakati mechi ya simba na yanga inachezwa Dar,matokeo yapo hong kong,ndio hapo tutakapookota maiti za kutosha Taifa
Yanga wenyewe simba wakifunga goli la kusawazisha wanaanza kuzimia zimia hovyo,itakuja siku watapigwa 9-0 patakua hapatoshi
cc OKWI BOBAN SUNZU
 
Brother Mmawia hivi vilabu havipaswi kufanya shortcuts zibadili katiba zao ziendane na matakwa yao.

Vinginevyo wataendelea kukwama kwa kuedekeza uswahili na shortcuts
Hilo ni wazo zuri sana ambalo pia kutokana na kiu ya mafanikio ya wapenzi na wanachama wa timu hizi mbili ni jambo jepesi sana
 
Kwa nini hao wawekezaji kama wana nia ya dhati wasianzishe timu zao?
Manji kafanya kipi kikubwa pale yanga kiasi cha kutaka kukodi nembo kwa miaka 10,eti ailipe yanga milioni 100 tu kwa mwaka,huo ni utapeli wa hali ya juu kuwahi kutokea
Hizi club zilianzishwa ki burudani,anaetaka kuwekeza lazima atoe somo refu sana vinginevyo akaanzishe timu yake
Hao ni wafanyabiashara,itafika wakati mechi ya simba na yanga inachezwa Dar,matokeo yapo hong kong,ndio hapo tutakapookota maiti za kutosha Taifa
Yanga wenyewe simba wakifunga goli la kusawazisha wanaanza kuzimia zimia hovyo,itakuja siku watapigwa 9-0 patakua hapatoshi
cc OKWI BOBAN SUNZU
Tangu lini serikali yenu inajihusisha na micheZo?
 
Hivi mbona mgambo imeuzwa BMT hawasemi washupalia yanga sasa viongozi kesho wakapewe pesa ya matumizi
 
Wana bodi huu ni wakati muafaka kuikosoa serikali hii ya ccm ya awamu ya tano kuwacha kuingilia mipango thabiti ya kuinua na kuendeleza soka kupitia kwa wawekezaji wenye mapenzi na timu hizo kwa kuamua kuwekeza mabilioni ya fedha kwenye timu hizo.Leo hii bmt wanajitokeza na kusimamisha zoezi hilo kwa msingi upi?wao wana zisaidia nini hizo simba na yanga?au ndio wale wanao lazimisha mfumo wa kujipatia vipato kupitia migongoni mwa hizo timu?
TUJADILI KWA MANUFAA YA SIMBA na YANGA
Serikali ipo sahihi kabisa, ukitaka kujua kwa nini iko sawa soma mikataba inayoingiwa na hizi timu na hao wafanyabiashara, Kuna madudu mengi sana, ila wengi hawaelewi,

Pia wahindi ni wajanja sana kwenye mikataba
 
Hongera Mohamed Kiganja kwa kumdhibiti Manji aliyetaka kukwapua timu ya Yanga , Hongera Akilimali kwa kukataa rushwa ya mil. 100 .
 
Serikali ipo sahihi kabisa, ukitaka kujua kwa nini iko sawa soma mikataba inayoingiwa na hizi timu na hao wafanyabiashara, Kuna madudu mengi sana, ila wengi hawaelewi,

Pia wahindi ni wajanja sana kwenye mikataba
Mbona ilishindwa kuikataa mikataba ya wachina?
 
Hivi mbona mgambo imeuzwa BMT hawasemi washupalia yanga sasa viongozi kesho wakapewe pesa ya matumizi
Huwezi tenganisha Yanga na serikali iliyopo madarakani, hebu tafuta historia Yanga kwanza ulete mrejesho hapa. Kwanini wanatumia utambulisho wa kijani na njano, kwanini wakati wa kampeni, mabango ya kampeni yalibandikwa kwenye klabu ya Yanga na wala sio Simba, hii ni klabu ni ya Seerikali na ina ukaribu na CCM, kama hujui, huko nyuma kabla havijaanzishwa vyama vingine vya siasa, likifuungwa goli tulikua tukishangilia CCM, CCM, CCM, CCM. Ila sasa ili kuwafanya akina mbowe na waione Yanga inawahusu, ndipo tukaondoa mshangilio huo, kama uliona juzi Siku ya Simba na Yanga aliumiza mikono kwa kushangilia goli la kimakosa la Tambwe. Kwahiyo ndugu jua kuwa Yanga ni kama shamba alilopewa mtu alilime, akichoka asilikodishe wala asiliuze. Ila yote kwa yote mpira hufuta tofauti na kutufanya tushirikiane na watu ambao tusingeshirikiana na nyanja nyingine, na hii hutokea Tanzania tu, kwa All Bashiri haitokei hii.
 
Serikali ipo sahihi kabisa, ukitaka kujua kwa nini iko sawa soma mikataba inayoingiwa na hizi timu na hao wafanyabiashara, Kuna madudu mengi sana, ila wengi hawaelewi,

Pia wahindi ni wajanja sana kwenye mikataba
Acha kulishwa maneno,kuna kitu gani cha ajabu katika hiyo mikataba?
 
Back
Top Bottom