King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,603
- 68,509
Imekaa Njema Sana!!! Wafunge Hadi Luku na Maji.
Hatari sana Mkuu huyu Jamaa nisiendeleye kuongea! Ila usani wa kale sana!Vikokoteo ni tatizo kubwa sana kwenye Bara letu. Hichi kikoteo kingine kimedai leo eti matatizo ya nchi yetu yasipopatiwa solutions kwenye awamu hii basi hayatapatiwa solutions milele!
Hata Baba wa Taifa hakuwahi kutoa kauli ya kujipaisha/kujikweza kiasi hiki.
Mwaka wa nne huu sijaona tatizo lolote lile nchini alilolipatia solution badala yake anaongeza matatizo. Mfano mmoja ni
Mambo vp jiweTanzania na sisi Bora ifungwe hata kwa miezi sita ili kina magabacholi,mabeberu Waache kupotosha watanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa kwetu jiwe mda sio mrefu ata amrisha
Malaika waitazame upya kama inahitajika au la maana vifaa vya kujuwa Wanaotumwa na Mabeberu vimeshuka leo kutoka Mbinguni !!
Zimbabwe hakuna serikali mpya serikali ni ile ile na mawazo ni yaleyale hakuna upya paleSerikali mpya inapitia kwenye njia zile zile za ile iliyopita tena hili ni jaribio baya zaidi la kujaribu kusilence watu wasitoe hisia zao....!!
Afrika inakabiliwa na tatizo la kimfumo na si kubadili watawala bali tubadili mifumo inayosimamia mamlaka za kiutawala kupitia katiba zetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini ni serikali ya chama kile kile cha Mugabe hakuna mabadiliko
Siku wakiizima ya tz .. ama hakika nitapagawa... yaani jinsi nisivyo weza kukaa bila kutumia social media ..daah kichaa kitanihusu ... (I'm so addicted)
Sent using Jamii Forums mobile app
Weee acha tu mkuu " imagine umeme ukikatika tu " then simu yangu ikawa haina charge ... basi kichwa chote nakihisi kina mawenge ...kama zezeta yaani
Upya kwa msingi wa kumuondoa dikteta A na kumuweka dikteta BZimbabwe hakuna serikali mpya serikali ni ile ile na mawazo ni yaleyale hakuna upya pale
Sent using Jamii Forums mobile app
Zimbabwe wamebadilisha tu chupa (mtawala) ila mvinyo (mfumo) ni ule ule hivyo watapata tabu Sana.Lakini ni serikali ya chama kile kile cha Mugabe hakuna mabadiliko
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi, how can someone run a business, a government, a country or anything for this case..Bila Internet in?!
Kwenye hii dunia ya leo.
Kabisa mkuu
Huu mtindo wa kuzima zima internet ni wakifala sana " naona unaibuka kwa kasi kubwa mnoo Africa ... naomba wananchi wa Africa tuamke na siku wa kithubutu kufanya hivi tuandamane " ili kuweza kuuondoa huo utawala madarakani ... haiwezekani uzime internet kwa sababu " hayo ni mawasiliano kama ambavyo yalivyo mawasiliano mengine " unapo funga internet ina maana kwamba kuna watu na makampuni kibao yanaingia hasara " kwa sababu yana tegemea kingiza mapato kwa kutumia internet " kwa mantiki hii uchumi wa nchi una simama " kwaajili ya ujinga wa interest za watu "..... matatizo ya wananchi hayawezi kutatuliwa kwa kuzima internet .... period...