Serikali Zimbabwe Yafunga Internet

Nalendwa

JF-Expert Member
Aug 9, 2016
7,467
13,024
1547827349358.png

1547827383036.png

1547827415333.png



Shirika kubwa la Mawasiliano la Zimbabwe -Econet- limesema limeamrishwa na Serikali ya Zimbabwe kufunga Internet, "Until further Notice"

Mawasiliano ya Facebook, WhatsApp na Twitter yalikatishwa toka Monday wakati maandamano ya kupinga upandaji bei wa mafuta yalipo anza, na watu watatu wamefariki tayari na wengine 600 kukamatwa.
Umoja wa mataifa umeitaka Serikali ya Zimbabwe kupunguza, "excessive use of force" by security forces ikiwa pamoja na kupiga waandamanaji risasi, physical punishment, na madai ya kutafuta waandamanaji nyumba kwa nyumba, usiku.

-Doctors association say more than 60 people were treated in hospitals for gunshot wounds.
"This is not way to react to the expression of economic grievances by the population," UN human rights spokesperson Ravina Shamdasani..~ Reuters

Zimbabwe reportedly turned off the entire country's internet to shut up people protesting its out-of-control economy
 
Tanzania na sisi Bora ifungwe hata kwa miezi sita ili kina magabacholi,mabeberu Waache kupotosha watanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
The thing is serikali yako ndio mtumiaji mkubwa wa internet.. ( kama umefanya kazi serikalin vitengo vya tehama utakuwa unafahamu)
Mitandao ya simu .. hapa nazungumzia mikubwa . Akina voda.. airtel tigo.. hawa mauzo makubwa ni bundle.
Mashirika mengi yanategemea internet kuendesha shughuli zao.
Zimbabwe wamefunga sababu ya vurugu nchini.si sababu nyingine.
And oh.. incase nimesahau kukwambia... wanao own internet ndio hao mabeberu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The thing is serikali yako ndio mtumiaji mkubwa wa internet.. ( kama umefanya kazi serikalin vitengo vya tehama utakuwa unafahamu)
Mitandao ya simu .. hapa nazungumzia mikubwa . Akina voda.. airtel tigo.. hawa mauzo makubwa ni bundle.
Mashirika mengi yanategemea internet kuendesha shughuli zao.
Zimbabwe wamefunga sababu ya vurugu nchini.si sababu nyingine.
And oh.. incase nimesahau kukwambia... wanao own internet ndio hao mabeberu.
Sent using Jamii Forums mobile app


Hivi, how can someone run a business, a government, a country or anything for this case..Bila Internet in?!
Kwenye hii dunia ya leo.
 
Nilidhani huyu angekuwa na ahueni kumbe ndiyo wale wale! JIWE mwingine huyu! Africa bado tuna safari ndefu sana ya kupata Uhuru wa kweli.

View attachment 998320
View attachment 998322
View attachment 998323


Shirika kubwa la Mawasiliano la Zimbabwe -Econet- limesema limeamrishwa na Serikali ya Zimbabwe kufunga Internet, "Until further Notice"

Mawasiliano ya Facebook, WhatsApp na Twitter yalikatishwa toka Monday wakati maandamano ya kupinga upandaji bei wa mafuta yalipo anza, na watu watatu wamefariki tayari na wengine 600 kukamatwa.
Umoja wa mataifa umeitaka Serikali ya Zimbabwe kupunguza, "excessive use of force" by security forces ikiwa pamoja na kupiga waandamanaji risasi, physical punishment, na madai ya kutafuta waandamanaji nyumba kwa nyumba, usiku.

-Doctors association say more than 60 people were treated in hospitals for gunshot wounds.
"This is not way to react to the expression of economic grievances by the population," UN human rights spokesperson Ravina Shamdasani..~ Reuters

Zimbabwe reportedly turned off the entire country's internet to shut up people protesting its out-of-control economy
 
Nilidhani huyu angekuwa na ahueni kumbe ndiyo wale wale! JIWE mwingine huyu! Africa bado tuna safari ndefu sana ya kupata Uhuru wa kweli.
Mkuu pale walipanga tu hakuna cha mapinduzi walitengeneza tatizo na kulitatua ndiko jiwe aliko jifunzia ya kikokoteo!
 
Vikokoteo ni tatizo kubwa sana kwenye Bara letu. Hichi kikokoteo kingine kimedai leo eti matatizo ya nchi yetu yasipopatiwa solutions kwenye awamu hii basi hayatapatiwa solutions milele!

Hata Baba wa Taifa hakuwahi kutoa kauli ya kujipaisha/kujikweza kiasi hiki.

Mwaka wa nne huu sijaona tatizo lolote lile nchini alilolipatia solution badala yake anaongeza matatizo. Mfano mmoja ni Korosho show.

Mkuu pale walipanga tu hakuna cha mapinduzi walitengeneza tatizo na kulitatua ndiko jiwe aliko jifunzia ya kikokoteo!
 
Back
Top Bottom