Nimefuatilia kwa makini na kuona kwamba kama tunataka maendeleo ya haraka ni lazima serikali za mitaa zipewe uwezo wa kutatua kero nyingi zinazowakumba Wananchi.
Tunashuhudia barabara zinahitaji kufukiwa au kukarabati mashimo madogo tu lakini utashangaa mpaka mashimo yawe makubwa ndipo gharama kuubwa zitumike kukarabati wakati gharama kidogo tu zingetosha kwa vishimo vidogo. Ona mashimo haya yalivyokuwa mtaa wa swahili!
Tunashuhudia barabara zinahitaji kufukiwa au kukarabati mashimo madogo tu lakini utashangaa mpaka mashimo yawe makubwa ndipo gharama kuubwa zitumike kukarabati wakati gharama kidogo tu zingetosha kwa vishimo vidogo. Ona mashimo haya yalivyokuwa mtaa wa swahili!