Ni ajabu na kweli, nilisoma jinsi Mh. Msukuma alivyokua anasema kwa msisitizo ni kwanini iwe zamu ya Kanda ya Ziwa kuendelezwa ... binafsi nikapata mshituko....! Hivi kumbe awamu za utawala wa Serikali za ccm hua ni kwaajili ya maendeleo ya Kanda moja moja na siyo taifa zima!!!
Nikajaribu kurejea kila tamko la chama (ccm) kwamba maendeleo ni nini, siku wahi sikia mpaka wa maendeleo ni Kanda fulani, sasa la ajabu mh. Alikua bungeni kiongozi wa bunge siku hiyo alikubaliana na Mh. Msukuma ndio maana hakuambiwa athibitishe usemi wake. Wala waziri Mkuu kulisemea, inamaana lina mashiko, zamu hiii maendeleo ni Kanda ya Ziwa
Tuseme analolisema Mh Msukuma ni kweli, inamaana uwezo wa kuyafanya maendeleo kwa serikali za ccm huishia kwenye Kanda? Zaidi ya hapo haiwezekani ndio maana leo wananchi wanalalamika maendeleo yako kaskazini tu, kanda zingine hata lami, hospitali, viwanda, biashara ... hakuna
Ila Jiji la pili kwa Ukubwa Tanzania liko kanda ya ziwa, vile vile ndio jiji linalokua kwa kasi Africa hiyo ni kwa mujibu utafiti wa UN HABITAT kabla ya uchaguzi wa 2015 ... nahisi sijui ni suala la Air Port ndio soo, kwani mbona Kampala haina Air Port kubwa kuliko Entebe Air Port?
Ukiondoa Dar kanda ya ziwa inaongoza kwa biashara Tanzania wilaya km Kahama, Geita ( kabla ya kuwa Mkoa), Tarime, Ilemela, Nyamagana, Sengerema, Maswa
Mh. Msukuma anasema yeye ni darasa la 7 inawezekana uwezo wake wa kuona mambo ni huo, je wengine wanaokubaliana nae nao ni la 7? Au sera za serikali hii ndivyo zilivyo? Najiuliza km ndivyo walipo kanda zingine watatozwa kodi za maendeleo? Najua hapa nitaulizwa mbona miaka hiyo kodi zililipwa na wote? Ndio swali langu linakukuja waliwezaje kupata kodi kama hawa kuwa na maendeleo?
Nikajaribu kurejea kila tamko la chama (ccm) kwamba maendeleo ni nini, siku wahi sikia mpaka wa maendeleo ni Kanda fulani, sasa la ajabu mh. Alikua bungeni kiongozi wa bunge siku hiyo alikubaliana na Mh. Msukuma ndio maana hakuambiwa athibitishe usemi wake. Wala waziri Mkuu kulisemea, inamaana lina mashiko, zamu hiii maendeleo ni Kanda ya Ziwa
Tuseme analolisema Mh Msukuma ni kweli, inamaana uwezo wa kuyafanya maendeleo kwa serikali za ccm huishia kwenye Kanda? Zaidi ya hapo haiwezekani ndio maana leo wananchi wanalalamika maendeleo yako kaskazini tu, kanda zingine hata lami, hospitali, viwanda, biashara ... hakuna
Ila Jiji la pili kwa Ukubwa Tanzania liko kanda ya ziwa, vile vile ndio jiji linalokua kwa kasi Africa hiyo ni kwa mujibu utafiti wa UN HABITAT kabla ya uchaguzi wa 2015 ... nahisi sijui ni suala la Air Port ndio soo, kwani mbona Kampala haina Air Port kubwa kuliko Entebe Air Port?
Ukiondoa Dar kanda ya ziwa inaongoza kwa biashara Tanzania wilaya km Kahama, Geita ( kabla ya kuwa Mkoa), Tarime, Ilemela, Nyamagana, Sengerema, Maswa
Mh. Msukuma anasema yeye ni darasa la 7 inawezekana uwezo wake wa kuona mambo ni huo, je wengine wanaokubaliana nae nao ni la 7? Au sera za serikali hii ndivyo zilivyo? Najiuliza km ndivyo walipo kanda zingine watatozwa kodi za maendeleo? Najua hapa nitaulizwa mbona miaka hiyo kodi zililipwa na wote? Ndio swali langu linakukuja waliwezaje kupata kodi kama hawa kuwa na maendeleo?