Serikali yawarubuni watumishi wa umma

Serikali yawarubuni watumishi wa umma

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,140
Reaction score
18,004
Katika kile kinachoonekana kama kusaka kura kwa chama tawala-CCM,Serikali imeongeza mshahara wa watumishi wa umma kimyakimya. Kuongezwa kwa mishahara ya watumishi wa umma katika kipindi hiki,kunaonekana wazi kama kampeni.

Nyaraka za kimshahara toka Idara,Taasisi na Mashirika mbalimbali ya umma,zinaonesha kuwa mishahara imepanda kwa ongezeko la shilingi laki moja hadi laki nne kwenye mshahara wa mwezi uliopita. Ni wazi kuwa huku ni kuwarubuni watumishi.

Watumishi wa umma,kwa miaka nenda-rudi,wamekuwa wakilalamikia mishahara duni. Wapo walimu wanaoidai Serikali mabilioni ya shilingi. Wapo hata Wastaafu wa Jumuiya ya zamani ya Afrika Mashariki ambao nao wanasotea haki zao.

Siasa za kurubuni,kulaghai na kupumbaza tusizipe nafasi. Kwanini sasa ndiyo Serikaliwiwajali watumishi wa umma?

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
 
mbona mm kwangu hawajaweka hata elfu moja ya nyongrza
 
hivi kuna mtumishi wa umma anaweza kusahau mapunjo ya miaka 60 kwa laki ya miezi miwili ?
 
Katika kile kinachoonekana kama kusaka kura kwa chama tawala-CCM,Serikali imeongeza mshahara wa watumishi wa umma kimyakimya. Kuongezwa kwa mishahara ya watumishi wa umma katika kipindi hiki,kunaonekana wazi kama kampeni.

Nyaraka za kimshahara toka Idara,Taasisi na Mashirika mbalimbali ya umma,zinaonesha kuwa mishahara imepanda kwa ongezeko la shilingi laki moja hadi laki nne kwenye mshahara wa mwezi uliopita. Ni wazi kuwa huku ni kuwarubuni watumishi.

Watumishi wa umma,kwa miaka nenda-rudi,wamekuwa wakilalamikia mishahara duni. Wapo walimu wanaoidai Serikali mabilioni ya shilingi. Wapo hata Wastaafu wa Jumuiya ya zamani ya Afrika Mashariki ambao nao wanasotea haki zao.

Siasa za kurubuni,kulaghai na kupumbaza tusizipe nafasi. Kwanini sasa ndiyo Serikaliwiwajali watumishi wa umma?

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

Hatudanganyiki. pesa nyongeza tumeiona sana. ila tutakutana October 25.

Wenu katika ujenzi wa taifa.
 
Hii serikali inafikir watumishi wa umma ni "watumwa wanaoumwa?"

Hata ingeongeza mara ngapi. Hilo ni tabasamu la mamba. Bado wanapigwa chini.

Pumbaff!
 
Katika kile kinachoonekana kama kusaka kura kwa chama tawala-CCM,Serikali imeongeza mshahara wa watumishi wa umma kimyakimya. Kuongezwa kwa mishahara ya watumishi wa umma katika kipindi hiki,kunaonekana wazi kama kampeni.

Nyaraka za kimshahara toka Idara,Taasisi na Mashirika mbalimbali ya umma,zinaonesha kuwa mishahara imepanda kwa ongezeko la shilingi laki moja hadi laki nne kwenye mshahara wa mwezi uliopita. Ni wazi kuwa huku ni kuwarubuni watumishi.

Watumishi wa umma,kwa miaka nenda-rudi,wamekuwa wakilalamikia mishahara duni. Wapo walimu wanaoidai Serikali mabilioni ya shilingi. Wapo hata Wastaafu wa Jumuiya ya zamani ya Afrika Mashariki ambao nao wanasotea haki zao.

Siasa za kurubuni,kulaghai na kupumbaza tusizipe nafasi. Kwanini sasa ndiyo Serikaliwiwajali watumishi wa umma?

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

NASHUKURU SANA KAKA KWA KUNIFUNGUA MACHO-NASEMA HIVYO KWA SABABU KWENYE MAKAMPUNI BINAFSI KUNA MEMO IMETOKA SERIKALINI TENA WAMEDAI ITEKELEZEKE HALAKA SANA IKIWALAZIMISHA MA HR'S KUONGEZA PAYEE KWA KILA MFANYAKAZI KWA MADAI YA KWAMBA HIYO HELA INAINGIA KWENYE MFUKO WA BIMA YA MATIBABU,ETI KWAMBA UPATAPO AJALI HIYO HELA ITAKUSAIDIA....jamani jamani huo ndo wizi mwingine wa ccm uliyoingia kwenye kampuni binafsi.
 
Sio kweli . Kila mwaka serikali huwa inaongeza mishahara. Hata hivyo ongezeko hilo sio kigezo cha kuipigia kura ccm
 
siyo kweli, mishahara haijaongezwa kimya kimya. Mhe. Rais Kikwete kwenye hotuba yake ya Mei Mosi pale CCM Kirumba, Mwanza alitamka wazi juu ya nyongeza hiyo pia bunge la bajeti limejadili na kupitisha. Acha propaganda mkuu.
 
Inabidi tutambue ni kada ipi imeongezewa. 1.Isije kuwa ni vyombo vya dola alafu tuseme watumishi wote. 2.Ni kwa kipindi hiki tu au ndio madaraja yanapanda kimyakimya! 3.Halafu ni kutokana na bajeti ipi?Sababu ya 2015/2016 si imepitishwa!
 
Isije ikawa wamepandisha ili serikali itakayoingia madarakani ishindwe kuwalipa wafanyakazi...!
 
siyo kweli, mishahara haijaongezwa kimya kimya. Mhe. Rais Kikwete kwenye hotuba yake ya Mei Mosi pale CCM Kirumba, Mwanza alitamka wazi juu ya nyongeza hiyo pia bunge la bajeti limejadili na kupitisha. Acha propaganda mkuu.

Tangu nchi ipate Uhuru,ongezeko la mshahara halikuwahi kuwa laki moja. Tafakari

Mzee Tupatupa
 
siyo kweli, mishahara haijaongezwa kimya kimya. Mhe. Rais Kikwete kwenye hotuba yake ya Mei Mosi pale CCM Kirumba, Mwanza alitamka wazi juu ya nyongeza hiyo pia bunge la bajeti limejadili na kupitisha. Acha propaganda mkuu.

hata kama wakiongeza millioni shida yetu si hela kwa sasa shida yetu ni mabadiliko ya mfumo na chama kipya ikiambatana na kurudisha mapendekezo yote ya rasimu ya ya pili ya maoni ya katiba ya Jaji Joseph Sinde Warioba ahsante kama kinawauma wazichukue maana hela ni za umma si za viongozi
 
siyo kweli, mishahara haijaongezwa kimya kimya. Mhe. Rais Kikwete kwenye hotuba yake ya Mei Mosi pale CCM Kirumba, Mwanza alitamka wazi juu ya nyongeza hiyo pia bunge la bajeti limejadili na kupitisha. Acha propaganda mkuu.
Thank you sir , but why now ?
 
Suala la mshahara wa mtu linakuhusu nini?? Afadhali ya CCM inaongeza huyu Lowassa mwenye mpango wa kufanya redundancy kwa ajili ya kupata pesa za kurudisha alizokopa nani ni nafuu??
 
Back
Top Bottom