GAMA LUGENDO
Senior Member
- Oct 19, 2010
- 131
- 15
Membe ameonyesha ujasiri kwa kukiri ukweli, na amejitoa kushabikia mauaji kama alivyofanya Yusuph Makamba.Mtu yeyoye mwenye human element hawezi kukubaliana na upuuzi uliofanyika Arusha wa kutumia excessive forces to confront the demonstrators.Bravo Membe.