Ukiachana na Tanesco, hili lilitakiwa kua shirika la pili kwa kuingiza profit kubwa ndani ya nchi. Shirika limetajirisha wengi kwa ufisadi. Pamoja na favour ya taasisi nyingine za serikali kama Tanesco,Udart,nk kufanya biashara na shirika hili kizalendo bado mwishoni mwa mwaka linazidiwa faida na private insurance company kama alliance. Hii ina maanisha huku mtaani Wana kasi ndogo kwenye biashara.
Sent using
Jamii Forums mobile app