Serikali yapiga marufuku wapiga ramli nchi nzima

Serikali yapiga marufuku wapiga ramli nchi nzima

pedafomu

Member
Joined
Sep 16, 2013
Posts
38
Reaction score
6
Waziri wa mambo ya ndani mh. Mathias Chikawe ametoa tamko la kupiga marufuku wale wote wanaohusika na upigaji ramli kwa nchi nzima kuacha mara moja, ili imetokana na wapiga ramli kuwapotosha na kuwadanganya wateja wao ili kuwa poteza ndugu zetu wenye albinism.

Chanzo: TBC habari
 
Practicality!!!!!!!!!!!!!?!!?!?!,???

Nilidhani hata nagepiga marufuku ufisadi
 
Wanapiga marufuku wakati wao politicians ndio wa kwanza kwenda kuulizia upepo umekaaje 2015!!!
 
Mauaji ya albino yataongezeka kwa kasi sana kwa kua uchaguzi mkuu umekaribia.
 
Back
Top Bottom